Kwa utaratibu huu hata ajira za Ualimu, Unesi, Uaskari zitatolewa kivyama

hii nchi kila kukicha maajabu hayakosekani kila kukicha myonge anazid kunyongwa.
Baba ulisema ajira mpaka miez 2 ipite kulikon tena?
Mbona sielewi elewi kbs
 
Kwa kweli nashindwa kabisa kuelewa meas maskin tutazdi kuwa mskini tu,na s chaguo la wanyonge kabisa ni fadhila gan anazpzilipa kwa watz tulio wng?natamani kulia askie kilio chng lkn nashindwa,ajira za kimaskini,ualimu,afya,askar ,znayumba na hatma haijafahamika lkn anateua had ma das jaman ,sasa wasom waende wapi? Mmh ay bhana
 
Kwa kweli nashindwa kabisa kuelewa meas maskin tutazdi kuwa mskini tu,na s chaguo la wanyonge kabisa ni fadhila gan anazpzilipa kwa watz tulio wng?natamani kulia askie kilio chng lkn nashindwa,ajira za kimaskini,ualimu,afya,askar ,znayumba na hatma haijafahamika lkn anateua had ma das jaman ,sasa wasom waende wapi? Mmh ay bhana
Pole ndugu yangu hata mm ni mojawapo kati ya wanyonge tuliohaidiwa neema ktk hii nchi.
Tuliambiwa ajira zitakuwa tayari mwez wa 5, mpaka leo hakuna kitu na mkuu wa wanyonge naye ameongezea mpaka baada ya miez 2 lkn kila kukicha nasikia anaajiri watu tu ss wanyonge hatuoni kbsa. Zoez lake ni zuri la watumish hewa lkn kwa system anayotumia anatuumiza huku, wengine tunashindwa hata kupumua. Angetafuta njia nyingine ya kuwaondoa wafanyakaz hewa na sio kwa mtindo huu.
Bac bana kilio cha samaki, hatuna uhuru kila mtu anatuvua jins apendavyo, hata tukilia machoz yetu yanasombwa na maji.
Wengine nasikia waliajiriwa baadae wakarudishwa mpaka miez 2 ipite.
Tanzania yangu
 
Mambo haya siyo ya kawaida na nafikiri limefanyika ili mkubwa aweke watu wake serikalini.Haiwezekani nafasi ambayo inahitaji watu waliosomea lakini pia wawe na uzoefu mkubwa wa kiutendaji serikalini lakini leo hii mtu anaamua kuweka watu wake kwa kisingizio cha kuirekebisha Nchi. kinacho nishangaza mimi nikuona hata marais wastaafu wanamwangalia tu afanye atakavyo, kwanini hawamwambii hapa sasa umekosea! mwisho wa udikiteta ni dhiki kuu kwa kila mtu! sitashangaa kuona hata nafasi zingine za kiutumishi atafanya uteuzi yeye.Watanzania lazima tusimame na tuseme hapana inatosha.

ha ha haaaa,,,adui mwombee njaa atanyooka tu
 
Inaogopesha.Siasa imetawala mno.
Ujanja ni kuwa na kadi ya CCM na ya UKAWA.Unakula kote kote.
 
Bwana Maramia, Mafunzo ya uteuzi ya mhe, Magu amejifunza kutoka kijiweni Zenj, maana huku ili upate sio kazi bali hata kuitwa kwenye interview lazima uwe kada wa ccm ambae asili yako ina mizizi kutoka Afro association, wala isije kuwa una mizizi ya shirazi wala hizbu. Pili uwe zombi la nguvu na uwe na chuki sana dhidi ya wapinzani ,vile vile uwe kidogo na vitimbi vya uvunjifu wa amani na mikakati yake. Wele wako uwe Mpemba mwanangu hata kama damu yako ni ya kijani kazi ni mwiko kwako kuipata na hata uwe una degree zinakupukutika. Jengine ambalo ni certificate ya kukosa kazi uwe rangi yako ni mweupe mweupe hapo hata kutizamwa hutazamwi . Basi chuo alichosomea magu kipo hapa hapa.
 
Bora iwe ya kisiasa, ili wakasimamie ILANI ya uchaguzi ya CCM 2015/20
 
Mi mtoa mada ni mwanachama wa CCM na kabla nilikuwa mwanaTANU tangu 1976 yeyote asidhani mimi ni mwanachama wa chama chochote cha upinzani, kwa hiyo nisishambuliwe kwa mtazamo kwamba nimeandika kwa chuki kuishambulia serikali kama mpinzani.

Lakini watanzania wenzangu, kama kuna anayedhani utaratibu huu wa kulimbikiza ajira kwenye mgongo wa chama kimoja utazaa matunda mazuri atakuwa anakosea sana tena sana si kidogo, mkuu wa nchi hawezi kugeuza ajira za kitaalamu kuwa za kisiasa na bado tukafikiri anatuweka nchi kwenye hali ya matumaini chanya.

Mifano iko mingi, aslani hakuna mtawala aliyetumia mtindo huu akafanikiwa, sijui serikali yetu imeuiga kutoka wapi huu.
Marais kama Saddam wa Iraq, Nicolae Ceassescou wa iliyokuwa Romania, Mobutu wa Zaire na wengine walioujaribu mtindo huu hakuna aliyefanikiwa ila walijenga chuki kubwa miongoni mwa wananchi, maana hii haitofautiani sana na udini.
YANGU MACHO!
yaani huo ni ubaguzi! ukitenda dhambi ya ubaguzi mwisho wake ni dhiki kuu.ubaguzi ni zaidi ya kula nyama ya binadamu, madhara yake ni makubwa na ni dhahiri huwa hayatibiki.Leo watu wanafurahia kwa kuwa mkuu wa Nchi kaamua kugawa kazi zote za umma kwa makada wa chama chake!! iko siku watajibu kwanini walitenda dhambi hiyo.
 
Back
Top Bottom