Kwa utafiti huu sasa naomba wote humu ' tuheshimiane '.

Ushahidi ni kwamba ubongo wa binadamu una matumizi 100%, ila sehemu ambayo inatakiwa kutumika ni 10% tu na hiyo sehemu inaitwa neuron katika ubongo, na 90% inayobakia inaitwa glacial cell ambazo kazi yake ni kusaidia neuron kufanya kazi ila hata hivyo wanasayansi wameshindwa kuelezea matumizi mengine ya hiyo 90% iliyobakia.
Hivyo binadamu ambaye anatumia kiasi kikubwa cha akili ni 8% tu na wengine wengi tumo kwenye 7%, 6%, 5%, na 4% ila kuna wengine wanaotumia 2%, 1% hapa nazungumzia vichaa na watu wengine wenye matatizo ya akili na 0% hapa nazungumzia binadamu aliyefariki.
Kwa msaada soma majalida ya BBC future na American Psychological Department, Ensyclopidia n.k

Hapo kwenye nyekundu naomba unifahamishe hiyo statement "inatakiwa kutumika", ni kwa maelekezo au maagizo ya nani?
Pia naomba uniwekee link inayoelezea huo utaalamu.
Hapa chini nakuwekea definition ya "neuron", naomba wewe uniwekee definition ya hicho ulichokiita "glacial cell".
A neuron (/ˈnjʊərɒn/ nyewr-on or /ˈnʊərɒn/ newr-on, also known as a neurone[1] or nerve cell) is an electricallyexcitable cell that processes and transmits information through electrical and chemical signals. These signals between neurons occur via synapses, specialized connections with other cells. Neurons can connect to each other to formneural networks. Neurons are the core components of the brain and spinal cord of the central nervous system (CNS), and of the ganglia of the peripheral nervous system (PNS).(kwa msaada wa wikipedia)
 
Katika kurasa ya moja ya Magazeti ya leo kuna Taarifa moja ya Utafiti uliofanywa na Taasisi moja ya Elimu ambayo imesema kwamba kati ya Watanzania wote takribani Milioni 45 hadi 47 wote tunatumia tu 1% ( ASILIMIA MOJA ) tu katika KUFIKIRI katika maisha yetu ya kila siku.

Binafsi nilipoisikia hii nilikuwa nakunywa Chai ikanibidi tu niache "ghafla " kuinywa kwa HASIRA lakini nilipokuja kuinywa tena ile Chai nikakuta ni ya baridi ( yaani imepoa ) ndipo nami nikagundua kuwa yawezekana huu Utafiti ni wa kweli kwani ningetumia angalau 50% ya kufikiri nisingepatwa na ile Jazba na kuacha kunywa Chai.

Hadi sasa bado najiuliza maswali mengi na kwa kweli naona " mood " yangu la leo imeshaharibiwa na hii taarifa ya Utafiti huu.

Je Wewe mwana JF unadhani ni kweli kuwa na Wewe unatumia 1% tu ya kufikiri? Je unadhani kuna ukweli wowote juu yake au hawa Watafiti wameamua tu " kututukana " Kidiplomasia Watanzania japo na wao pia ni Watanzania wenzetu?

Dah! Kwahiyo na Mimi na " ujanja " wangu wote huu kumbe natumia 1% ya kufikiri? Kwahiyo hata nanihii......nae anatumia 1% tu katika kufikiri? Ina maana na huyu naniliu....nae kumbe " mbwembwe " zote hizi anatumia 1% tu kufikiri?

Hivi nyie Watafiti kwani mngesema tu kuwa Watanzania wote ni " mambumbumbu " isingetosha au tusingewaelewa hadi mtudhalilishe kwa kusema Watanzania wote tulio hai hadi hivi sasa tunatumia tu 1% katika kufikiri na zile 99% bado zinatusubiri?

Source: Majira / Mtanzania / Nipashe la leo.

KWA AKILI NILIZONAZO NA MAWAZO NILIYO NAYO
I HAVE HIGH INTELLIGENT QUOTIENT(IQ)
SO BINAFSI MTU HAWEZI KUNINITHIBITISHIA WHO I AM
REMEMBER THE ONE WHO TRY TO DEFINE YOU IS EXACTLY DEFINING HIMSELF.

Ninapoingia darasani na kuandika, ule mtihani unanipima mimi siyo mtunzi.
Likewise yule anayekuambia unatumia 1% hiyo ndiyo yeye alivyo siyo wewe

Taasisi nyingi za utafiti Tanzania hazijui hata namna ya kufanya research!!
wapo wapo tu
Unapofanya utafiti kuna mambo ya Msingi ya kuangalia
1. The objective of the study to the government, citizen and other stakeholder
2.Research inapaswa kufanywa ili kutatua changamoto au kuja na majibu mbadala

wailete hiyo report tuone research gap waliyoandika na research methodology..
halafu tuangalie Targeted population na reasonable sample before concluding.
Na pia tuone kwa nini waliamua kufanya utafiti wa IQ za Watanzania??? Me nadhani wamewatukana watanzania wote kwa hiyo vyombo vya dola vifanye kazi zao.

Kuna Mambo ya Msingi ya kufanyia Tafiti
Kwa Mfano Uchumi wa Tanzania na Malengo ya Milenia, Elimu ya Tanzania na Viwanda...
Fanyeni utafiti

Kwa nini Mkulima wa Tanzania ni Maskini wakati wa Marekani ni Tajiri????????????????????
 
Kama Mmeweza kuichagua Ccm kila Kipindi cha Uchaguzi na bado mna lalamika Ufisadi na Rushwa...kwanini tusiamini kwamba mnatumia 1% kufikiri?
 
mkuu kwanza haujasema huo utafiti umefanywa na nani, wakati gani na kwa madhumuni yepi, pili si kweli kuwa unatumia asilimia moja tuu kufikiri, labda useme unatumia asilimia moja kufikiria vitu vya maana (Hapa napo kuna maswali ya kujiuliza cha maana ni kipi na kwa sababu gani)
Sure logic reason
 
Hata hiyo asilimia moja mkuu naona umetoa marks kubwa mno zinatumika chini ya hapo.

Watu wanaotumia akili sana angalia uvumbuzi wa vitu vipya vingi vya kusaidia jamii kuondokana na umaskini .Chukulie mtu anagundua simu zinazalishwa na kusambazwa dunia nzima na kutoa ajira za wauza simu,mafundi simu,mpesa,tigo pesa,airtel money nk ajira kibao.

Ukitaka kujua hata bongo za wanasiasa wetu zinatumia asilimia chini ya moja angalia hoja wanazotoa.Mtu anabwabwaja nataka bunge lionekane live niwe naonekana !!! Hapo kafikiri yaani upeo wake hadi mwisho.Likionekana live kero za umaskini wa kipato utakuwa umetowweka jimboni kwake? Halafu unakuta si peke yake ana kundi kubwa linaunga mkono na wanaweka matambara mdomoni na kutoka nje ya bunge!!!

Au anasema tunataka tupewe yuhuru wa kuongea SABABU MDOMO NI JUMBA LA MANENO (DOMO KRASIA) Hapo mtu ukiangalia hapo katumia kweli asilimia moja ya ubongo wake?? Wakati wenzetu uhuru mkubwa ni wa ugunduzi wa vitu vipya sisi tunaongelea uhuru wa kupiga domo,
0.0003%
 
Hapo kwenye nyekundu naomba unifahamishe hiyo statement "inatakiwa kutumika", ni kwa maelekezo au maagizo ya nani?
Pia naomba uniwekee link inayoelezea huo utaalamu.
Hapa chini nakuwekea definition ya "neuron", naomba wewe uniwekee definition ya hicho ulichokiita "glacial cell".
A neuron (/ˈnjʊərɒn/ nyewr-on or /ˈnʊərɒn/ newr-on, also known as a neurone[1] or nerve cell) is an electricallyexcitable cell that processes and transmits information through electrical and chemical signals. These signals between neurons occur via synapses, specialized connections with other cells. Neurons can connect to each other to formneural networks. Neurons are the core components of the brain and spinal cord of the central nervous system (CNS), and of the ganglia of the peripheral nervous system (PNS).(kwa msaada wa wikipedia)
10% inatakiwa kutumika kwa sababu ubongo wa binadamu unatumia 20% ya nguvu inayozalishwa na mwili, hivyo 10% inatakiwa kutumika ili kuweza kubalansi na nguvu ya mwili inayozalishwa mana mtu akitumia zaidi ya 10% anaweza kupata matatizo mengine ya kimwili na akili.
Unaweza ukavuta picha namna miili ilivyokuwa ya wanafunzi wenzako waliokuwa wanasoma sana kipindi upo nao advance level au chuo kama umefika, mana wengi walikuwa ni wamekonda sana na wanakuwa ni kama wamechanganyikiwa.
Kuhusu maana ya Glacial cell sikujibu sababu umeuliza kama tuna shindana me na wewe.
 
Kuna kitabu kinaitwa Nguvu za Akili nimeona ametoa maelezo ya namna ya kutumia akili
 
Hebu tujiulize kama viongozi wetu wanafikiri na wanaruhusu wengine wafikiri tofauti na wao.
Check hali ya utendaji wa utumishi wa umma kama unawapa changamoto ya kufikiri zaidi ya kuwa "sawa mkuu"
 
10% inatakiwa kutumika kwa sababu ubongo wa binadamu unatumia 20% ya nguvu inayozalishwa na mwili, hivyo 10% inatakiwa kutumika ili kuweza kubalansi na nguvu ya mwili inayozalishwa mana mtu akitumia zaidi ya 10% anaweza kupata matatizo mengine ya kimwili na akili.
Unaweza ukavuta picha namna miili ilivyokuwa ya wanafunzi wenzako waliokuwa wanasoma sana kipindi upo nao advance level au chuo kama umefika, mana wengi walikuwa ni wamekonda sana na wanakuwa ni kama wamechanganyikiwa.
Kuhusu maana ya Glacial cell sikujibu sababu umeuliza kama tuna shindana me na wewe.

Umeendelea kutumia neno "inatakiwa", mimi naona kama hiyo ni condition iliyokuwa set. Sasa nataka kujua ni nani alisema au kuagiza itumike hiyo 10%? Nadhani ukifafanua zaidi nitakuelewa. Kuhusu "glacial cell" ni kwamba siifahamu na nimejaribu kutafuta maana yake bila kupata kitu. Kwahiyo ukipenda unaweza kuniwekea link.
 
Kama wataalamu wanasema hata ile 10% ni myth, vipi hawa waliokuja na 1%?
Wamefanya utafiti wa kutosha kweli?
Ni wao wenye matatizo au ni sisi tunaohoji hiyo 1%? cc Kiranga
Namsoma Siddhartha Mukherjee katika "The Gene: An Intimate History"

People need to read serious books on these matters, not just cite junk science.

The-Gene-cutout.jpg
 
Ukweli ni kwamba utafiti huu unawahusua watanzania wenye uanachama wa chama hiki cha kijani. Endelea kukataa, ukifanya utafiti utakubali.
 
Back
Top Bottom