sir joshua
JF-Expert Member
- May 21, 2013
- 479
- 176
Kama kichwa panzi si uache! Wengine ndio kinywaji pendwa kwetu kwa sasaHii ni kwa wanywaji na wapenzi wa ulabu.
Kuna pombe mpya imeingia mjini inaitwa KITOKO. Hii sio pombe ya kawaida ni hatarious mno. Ipo kwenye vifungashio vya makopo ya plastic yaliyopendekezwa na serikali, Ina rangi nyekundu na imeandikwa kuwa Ina kilevi cha 40%..... Ambao sidhan Kama ni ukweli.
Kwa waliowahi kuionja watakuwa na Simulizi zake tofauti kabisa. Ni pombe ambayo naamini mtengenezaji wake ametengeneza kwa teknolojia ya kizamani kiasi kwamba zile sifa zote za pombe za zamani zipo kwenye hii KITOKO.
Kwanza ni pombe ambayo ukinywa kuna uwezekano mkubwa wa kupigana bar...
Pili unaweza ukajikuta umesahau kwako na kuanza kuzunguka mtaani Kama umelogwa...
Kulala mtaroni ni jambo la kawaida sanaaaaaa.....
Kuongea lugha za kigeni kwa ufasaha ni sifa nyingine ya hii KITOKO.
Nazungumza haya kwa sababu nimeyashuhudia huku nilipo.
Wito:
Naomba Wakati mamlaka husika ikiwamo TFDA wanachunguza viwango vya huu ulabu, wanywaji wenzangu Hebu tuususie kidogo...
Madhara ni Mengi mno.
Naomba kuwasilisha.
Lingala. Mwasi kitoko ni msichana mrembo.Mrembo kwa lugha gani?
Lingala mkuu.Mrembo kwa lugha gani?
Hapo sina uhakika mkuu.... Maana naona kile kilebo cha TRA.....Aisee..imethibitishwa kwanza?
hahahaha hii nayo iko vzr ,ila kuna DON NYATI naye si MCHEZO,kuna kitu SHUJAAZ yaani uswazi ni full kugonga vitu vikali tuHiyo kitoko cha mtoto Majaribu siku moja kuona double punch au chamukwale ...Utakuja kuleta mrejesho hapa kama hawajaenda kukuokota ununio kawe.
Mkuu usicheke.... Sio mchezo KITOKO.
Hahahaaaaaa kupigana nouma aiseeeMkuu usicheke.... Sio mchezo KITOKO.
TBS JE??Hapo sina uhakika mkuu.... Maana naona kile kilebo cha TRA.....
Unaitafutia Jamiiforums kesi nyingine ya uchafuzi wa jina na brand. Mods ondoeni hii takataka inayofanana na threaddHii ni kwa wanywaji na wapenzi wa ulabu.
Kuna pombe mpya imeingia mjini inaitwa KITOKO. Hii sio pombe ya kawaida ni hatarious mno. Ipo kwenye vifungashio vya makopo ya plastic yaliyopendekezwa na serikali, Ina rangi nyekundu na imeandikwa kuwa Ina kilevi cha 40%..... Ambao sidhan Kama ni ukweli.
Kwa waliowahi kuionja watakuwa na Simulizi zake tofauti kabisa. Ni pombe ambayo naamini mtengenezaji wake ametengeneza kwa teknolojia ya kizamani kiasi kwamba zile sifa zote za pombe za zamani zipo kwenye hii KITOKO.
Kwanza ni pombe ambayo ukinywa kuna uwezekano mkubwa wa kupigana bar...
Pili unaweza ukajikuta umesahau kwako na kuanza kuzunguka mtaani Kama umelogwa...
Kulala mtaroni ni jambo la kawaida sanaaaaaa.....
Kuongea lugha za kigeni kwa ufasaha ni sifa nyingine ya hii KITOKO.
Nazungumza haya kwa sababu nimeyashuhudia huku nilipo.
Wito:
Naomba Wakati mamlaka husika ikiwamo TFDA wanachunguza viwango vya huu ulabu, wanywaji wenzangu Hebu tuususie kidogo...
Madhara ni Mengi mno.
Naomba kuwasilisha.
Mwasi mwana kitoko ...hebu tafsiri hiyoLingala mkuu.
Msichana mrembo.Mwasi mwana kitoko ...hebu tafsiri hiyo