REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Dr Slaa aliwaambia wanatoa mavi chooni wanaleta sebuleni, huyo Nyalandu tulishamnyima uwaziri na alikua yupo kwenye pipeline ya kwenda kwa pilato soon mtamuona huko,
Chadema bila mafisadi haiwezekani nimepata raha kuona huu usajili sababu saivi itakua ajabu kwa chadema kukemea ufisadi sababu wanao na wanautetea hili 2020 litakua mtaji wetu na tutaanza nalo kwenye udiwani kesho kutwa.
Chadema bila mafisadi haiwezekani nimepata raha kuona huu usajili sababu saivi itakua ajabu kwa chadema kukemea ufisadi sababu wanao na wanautetea hili 2020 litakua mtaji wetu na tutaanza nalo kwenye udiwani kesho kutwa.