Si ndio maana hakupewa nafasi yoyote katika serikali. CCM inawajua watu wachafu na ikiwabaini hua hawapewi nafasi ya uongozi serikalini. Unaijua mifano lukuki.Kumbe huko kwenye Chama cha mapinduzi kuna Watu wengi wachafu! Sasa swali imekuwa Chama cha mapinduzi kimekuwa kinashinda na Watu hawa Chafu lakini ambao wakihama Chama kinachowachukua kama wanachama hakiwezi kushika dola? Hoja hasa nini?