Kwa Upinzani huu, wasitegemee kuongoza nchi. Hakuna mahali popote duniani upinzani kama huu ulishawahi kushinda

FPT

JF-Expert Member
Mar 23, 2017
1,201
1,839
Uongozi ni dhamana ambayo kiongozi anapewa na watu kwa kumuamini na kumpigia kura ya ndiyo. Mtu anadhaminiwa kwa majukumu ya uongozi anatakiwa kuwa na weledi na uwezo wa kuongoza. Huwezi kuamka tu na kuota kugombea uongozi mkubwa kama urais ilhali watu hawajawahi kukuona ukiwa hata mbunge, ili uwe na uongozi wa juu unatakiwa uanzie wa chini.

Matarajio ya vyama vya siasa ni kushika dola ama kuendelea kushika dola. Kutokana na matarajio hayo vyama vya siasa vinabidi viwe na watu madhubuti wa kuweza kusimamia mipango na mikakati ya kushika dola. Hili halina mjadala ndani ya CCM. CCM ni chama kikongwe na kina mbinu nyingi za kukiwezesha kuendelea kushinda kila uchaguzi na hivyo kushika dola lakini hali ni tofauti kwa vyama vya upinzani. Vyama vya upinzani havijatisheleza kuwa na rasilimali watu wa kutosha kiasi kwamba tuweze kuwaamini kuwapeleka ikulu. Huu ni ukweli mchungu ,ila ukosefu wa watu makini na wa kutosha kunafanya watanzania wakose imani nao.

Upinzani umegeuka dodoki la kusafisha kila uchafu. Ukiwa fisadi na kama una nia ya kusafishwa na kung’aa kabisa jiunge upinzani. Mifano ipo mingi. Kusafisha watu ambao wamechafuka kisiasa kunapunguza credibility yao ya kuonekana ni chama mbadala na kuonekana ni furushi la uozo kwa watanzania. Kuendelea na tabia hii msahau kuja kushika dola. Watanzania wanaona na wanamua kupitia ballot box.

Upinzani wa kupinga kila kitu. Upinzani umegeuka chaka la kupinga mazuri ya serikali. Hii si nzuri kwenu, kwa sababu watu wanahitaji maendeleo na wanavyoona serikali yao inajitoa kuwaletea maendeleo na ninyi kupinga hayo maendeleo wapiga kura wanashindwa kuwaelewa. Watu watapigia kura maendeleo na kwa sababu ni CCM ndio inayoyaleta hayo maendeleo , wataendelea kuichagua CCM.

Upinzani kuamini katika migomo na maandamano badala ya mijadala. Hii pia ni sababu kubwa inayoifanya upinzani kushindwa kuimarika Tanzania. Watu inabidi wahamasishwe kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza umasikini na si kuwajaza watu barabarani kufanya migomo. Maandamano ni ishara ya kukosekana kwa suluhu ya majadiliano ambalo si jambo la kweli. Upinzani unatakiwa utoke kwenye kuamini maandamano mpaka kuamini katika majadiliano. Upinzani wa migomo na maandamano hauwezi kushinda popote pale duniani.

Kama upinzani usipoweza kutatua hizi changamoto isahau kuongoza nchi. Watanzania wanaona yanayoendelea, wanapima na watakuja kuamua kwenye sanduku la kura. Upinzani uache kuwa wa matukio na uwe wa matokeo.
FPT 2040
 
Uongozi ni dhamana ambayo kiongozi anapewa na watu kwa kumuamini na kumpigia kura ya ndiyo. Mtu anadhaminiwa kwa majukumu ya uongozi anatakiwa kuwa na weledi na uwezo wa kuongoza. Huwezi kuamka tu na kuota kugombea uongozi mkubwa kama urais ilhali watu hawajawahi kukuona ukiwa hata mbunge, ili uwe na uongozi wa juu unatakiwa uanzie wa chini.

Matarajio ya vyama vya siasa ni kushika dola ama kuendelea kushika dola. Kutokana na matarajio hayo vyama vya siasa vinabidi viwe na watu madhubuti wa kuweza kusimamia mipango na mikakati ya kushika dola. Hili halina mjadala ndani ya CCM. CCM ni chama kikongwe na kina mbinu nyingi za kukiwezesha kuendelea kushinda kila uchaguzi na hivyo kushika dola lakini hali ni tofauti kwa vyama vya upinzani. Vyama vya upinzani havijatisheleza kuwa na rasilimali watu wa kutosha kiasi kwamba tuweze kuwaamini kuwapeleka ikulu. Huu ni ukweli mchungu ,ila ukosefu wa watu makini na wa kutosha kunafanya watanzania wakose imani nao.

Upinzani umegeuka dodoki la kusafisha kila uchafu. Ukiwa fisadi na kama una nia ya kusafishwa na kung’aa kabisa jiunge upinzani. Mifano ipo mingi. Kusafisha watu ambao wamechafuka kisiasa kunapunguza credibility yao ya kuonekana ni chama mbadala na kuonekana ni furushi la uozo kwa watanzania. Kuendelea na tabia hii msahau kuja kushika dola. Watanzania wanaona na wanamua kupitia ballot box.

Upinzani wa kupinga kila kitu. Upinzani umegeuka chaka la kupinga mazuri ya serikali. Hii si nzuri kwenu, kwa sababu watu wanahitaji maendeleo na wanavyoona serikali yao inajitoa kuwaletea maendeleo na ninyi kupinga hayo maendeleo wapiga kura wanashindwa kuwaelewa. Watu watapigia kura maendeleo na kwa sababu ni CCM ndio inayoyaleta hayo maendeleo , wataendelea kuichagua CCM.

Upinzani kuamini katika migomo na maandamano badala ya mijadala. Hii pia ni sababu kubwa inayoifanya upinzani kushindwa kuimarika Tanzania. Watu inabidi wahamasishwe kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza umasikini na si kuwajaza watu barabarani kufanya migomo. Maandamano ni ishara ya kukosekana kwa suluhu ya majadiliano ambalo si jambo la kweli. Upinzani unatakiwa utoke kwenye kuamini maandamano mpaka kuamini katika majadiliano. Upinzani wa migomo na maandamano hauwezi kushinda popote pale duniani.

Kama upinzani usipoweza kutatua hizi changamoto isahau kuongoza nchi. Watanzania wanaona yanayoendelea, wanapima na watakuja kuamua kwenye sanduku la kura. Upinzani uache kuwa wa matukio na uwe wa matokeo.
FPT 2040
Watanzania wenye uwezo wa kupima wengi walishaachana na siasa za CCM na waliopo wapo kwa ajili ya vyeo.

Wanaoichagua CCM wengi hawana hats uwezo wa kupima jambo lolote.
Ndio maana hata Bunge limezimwa ili watu waendelee kuchagua bila kupima. Matokeo yake miaka 20 ijayo nchi itajikuta ikiwa imeangukia mikononi mwa wachina kwa sababu kila kitu kinafichwa tunaonyeshwa vitu badala ya mipango iliyoleta hivyo vitu .
 
CCM kimekuwa chama mfu na viongozi ndani ya CCM kwa asilimia kubwa wamepumzisha akili zao wakisubiri maagizo kutoka kwa jiwe ili waunge mkono .

Taasisi zinazohusika kusimamia demokrasia zikowepo bunge na hata mahakama zinaendelea kuingiliwa kwa kiasi kikubwa na kufanywa matawi ya jiwe na vibaraka wake.

Msajili wa vyama na tume ya uchaguzi vimeingiliwa kinyume na maumbile na jiwe na vibaraka wake, kufanywa "mhujumu wa vyama" na "tume ya kuvuruga uchaguzi".

CCM kimejipambanua chini ya jiwe kuwa chama cha kuhujumu wafanyakazi. Chama kimepewa washamba na waganga njaa, wanaoendelea kuendeshwa kwa rimoti na wanapropaganda wanaotumwa na jiwe (Akina Bashite na Musiba).

CCM chini ya jiwe imekosa dira kabisa na kufa ganzi, hivyo kutoa mwanya kwa upinzani kuendelea kushamiri na kupendwa licha ya hujuma dhidi yao zinazoendelea kwa maelekezo ya jiwe na vibaraka wake.

Ipo mifano mingi sana ya kuonyesha jinsi serikali ya awamu ya tano ilivyojaa hofu dhidi ya upinzani na makundi yaliyopo bado ndani ya CCM ambayo jiwe na mbwembwe zake ameamua kuyanyooshea mikono.

Hivyo mtoa mada hapa yawezekana katumwa au kajituma kwa chuki zake dhidi ya upinzani na viongozi wa upinzani waliobaki imara dhidi ya uonevu na hujuma zinazoratibiwa na jiwe na vibaraka wake. Sisi wananchi tunaona na tuna uelewa mpana zaidi ya anavyotaka kutuaminisha. Vyama vya upinzani vitazidi kuwa imara hasa baada ya jiwe kuvisaidia kwa kuwanunua wale waliokuwa wanavihujumu.


Ni hayo tu kwa leo.
 
Uongozi ni dhamana ambayo kiongozi anapewa na watu kwa kumuamini na kumpigia kura ya ndiyo. Mtu anadhaminiwa kwa majukumu ya uongozi anatakiwa kuwa na weledi na uwezo wa kuongoza. Huwezi kuamka tu na kuota kugombea uongozi mkubwa kama urais ilhali watu hawajawahi kukuona ukiwa hata mbunge, ili uwe na uongozi wa juu unatakiwa uanzie wa chini.

Matarajio ya vyama vya siasa ni kushika dola ama kuendelea kushika dola. Kutokana na matarajio hayo vyama vya siasa vinabidi viwe na watu madhubuti wa kuweza kusimamia mipango na mikakati ya kushika dola. Hili halina mjadala ndani ya CCM. CCM ni chama kikongwe na kina mbinu nyingi za kukiwezesha kuendelea kushinda kila uchaguzi na hivyo kushika dola lakini hali ni tofauti kwa vyama vya upinzani. Vyama vya upinzani havijatisheleza kuwa na rasilimali watu wa kutosha kiasi kwamba tuweze kuwaamini kuwapeleka ikulu. Huu ni ukweli mchungu ,ila ukosefu wa watu makini na wa kutosha kunafanya watanzania wakose imani nao.

Upinzani umegeuka dodoki la kusafisha kila uchafu. Ukiwa fisadi na kama una nia ya kusafishwa na kung’aa kabisa jiunge upinzani. Mifano ipo mingi. Kusafisha watu ambao wamechafuka kisiasa kunapunguza credibility yao ya kuonekana ni chama mbadala na kuonekana ni furushi la uozo kwa watanzania. Kuendelea na tabia hii msahau kuja kushika dola. Watanzania wanaona na wanamua kupitia ballot box.

Upinzani wa kupinga kila kitu. Upinzani umegeuka chaka la kupinga mazuri ya serikali. Hii si nzuri kwenu, kwa sababu watu wanahitaji maendeleo na wanavyoona serikali yao inajitoa kuwaletea maendeleo na ninyi kupinga hayo maendeleo wapiga kura wanashindwa kuwaelewa. Watu watapigia kura maendeleo na kwa sababu ni CCM ndio inayoyaleta hayo maendeleo , wataendelea kuichagua CCM.

Upinzani kuamini katika migomo na maandamano badala ya mijadala. Hii pia ni sababu kubwa inayoifanya upinzani kushindwa kuimarika Tanzania. Watu inabidi wahamasishwe kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza umasikini na si kuwajaza watu barabarani kufanya migomo. Maandamano ni ishara ya kukosekana kwa suluhu ya majadiliano ambalo si jambo la kweli. Upinzani unatakiwa utoke kwenye kuamini maandamano mpaka kuamini katika majadiliano. Upinzani wa migomo na maandamano hauwezi kushinda popote pale duniani.

Kama upinzani usipoweza kutatua hizi changamoto isahau kuongoza nchi. Watanzania wanaona yanayoendelea, wanapima na watakuja kuamua kwenye sanduku la kura. Upinzani uache kuwa wa matukio na uwe wa matokeo.
FPT 2040
FPT unaonekana unajifunza kufanya propoganda. Una hoja dhaifu zinazotokana na fikra mgando na ukasuku wa ". . .kidumu chama cha mapinduziii . . .", "chama kikongwe", "chama dume", nk.
" Nothing is static"; hakuna kisichobadilika: uwe ni mtazamo wa jamii husika kijamii, kisiasa au kiuchumi. Kama inavyotokea kwa ardhi, sera na maadili ya vyama vya siasa humomonyoka. Juzi juzi ZANU PF (Zimbabwe) imejizaa kama ilivyofanya ANC (Afrika Kusini) ili kukidhi matarajio ya wananchi wao. Angalia yanayotokea kwingineko Afrika kwa mfano, Burundi, Rwanda na Uganda ambako vyama tawala havijafanya hivyo. Tumeshuhudia upepo uliozipitia nchi za Kaskazini mwa Afrika, hususan nchi za Kiarabu.
Turudi kwenye hoja. Mfumo wa vyama vingi vya siasa upo nchini kwa mujibu wa katiba ya nchi. Tatizo ni kuwa haujakubaliwa na serikali ya CCM ambacho unapigia propoganda. Kukandamiza Upinzani kwa namna yoyote na kwa visingizio vyovyote ni kuvunja katiba ya nchi. Ni hapa Tanzania tu ambako upinzani hauna rasilimali watu?Je, katika nchi zingine ambako viongozi wa vyama vya upinzani wanapata misukosuko ni kwa sababu zipi wewe unadhani? Kama kama upinzani hautishii kukiondoa chama cha mapinduzi madarakani kwa nn serikali inahangaika nao?
Vyama vya siasa vya upinzani vitakosa uhalali wa kuwepo iwapo vitakubaliana na serikali iliyoko madarakani kwa kila kitu bila kutoa maoni mbadala ya namna ya kuendesha nchi.
Siamini kuwa hujui kwanini mfumo wa vyama vingi upo na kwa sababu unasimamiwa na nchi za Magharibi zilizopiga hatua katika maendeleo duniani. Inawezekana hujui. Kwa ufupi ni kuwa mfumo huo unaamsha serikali zilizoko madarakani zisilale ili zitumikie wananchi wao kwa ufanisi katika kuwaletea demokrasia na maendeleo ya kijamii, kiuchumi, na kisiasa.
 
Uongozi ni dhamana ambayo kiongozi anapewa na watu kwa kumuamini na kumpigia kura ya ndiyo. Mtu anadhaminiwa kwa majukumu ya uongozi anatakiwa kuwa na weledi na uwezo wa kuongoza. Huwezi kuamka tu na kuota kugombea uongozi mkubwa kama urais ilhali watu hawajawahi kukuona ukiwa hata mbunge, ili uwe na uongozi wa juu unatakiwa uanzie wa chini.

Matarajio ya vyama vya siasa ni kushika dola ama kuendelea kushika dola. Kutokana na matarajio hayo vyama vya siasa vinabidi viwe na watu madhubuti wa kuweza kusimamia mipango na mikakati ya kushika dola. Hili halina mjadala ndani ya CCM. CCM ni chama kikongwe na kina mbinu nyingi za kukiwezesha kuendelea kushinda kila uchaguzi na hivyo kushika dola lakini hali ni tofauti kwa vyama vya upinzani. Vyama vya upinzani havijatisheleza kuwa na rasilimali watu wa kutosha kiasi kwamba tuweze kuwaamini kuwapeleka ikulu. Huu ni ukweli mchungu ,ila ukosefu wa watu makini na wa kutosha kunafanya watanzania wakose imani nao.

Upinzani umegeuka dodoki la kusafisha kila uchafu. Ukiwa fisadi na kama una nia ya kusafishwa na kung’aa kabisa jiunge upinzani. Mifano ipo mingi. Kusafisha watu ambao wamechafuka kisiasa kunapunguza credibility yao ya kuonekana ni chama mbadala na kuonekana ni furushi la uozo kwa watanzania. Kuendelea na tabia hii msahau kuja kushika dola. Watanzania wanaona na wanamua kupitia ballot box.

Upinzani wa kupinga kila kitu. Upinzani umegeuka chaka la kupinga mazuri ya serikali. Hii si nzuri kwenu, kwa sababu watu wanahitaji maendeleo na wanavyoona serikali yao inajitoa kuwaletea maendeleo na ninyi kupinga hayo maendeleo wapiga kura wanashindwa kuwaelewa. Watu watapigia kura maendeleo na kwa sababu ni CCM ndio inayoyaleta hayo maendeleo , wataendelea kuichagua CCM.

Upinzani kuamini katika migomo na maandamano badala ya mijadala. Hii pia ni sababu kubwa inayoifanya upinzani kushindwa kuimarika Tanzania. Watu inabidi wahamasishwe kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza umasikini na si kuwajaza watu barabarani kufanya migomo. Maandamano ni ishara ya kukosekana kwa suluhu ya majadiliano ambalo si jambo la kweli. Upinzani unatakiwa utoke kwenye kuamini maandamano mpaka kuamini katika majadiliano. Upinzani wa migomo na maandamano hauwezi kushinda popote pale duniani.

Kama upinzani usipoweza kutatua hizi changamoto isahau kuongoza nchi. Watanzania wanaona yanayoendelea, wanapima na watakuja kuamua kwenye sanduku la kura. Upinzani uache kuwa wa matukio na uwe wa matokeo.
FPT 2040



Mpuuzi mwili mzima, duniani popote ni kijijini kwenyu uswazi?! Weye ndio wale wale wa ng'o ng'o kumbe hata uingereza hujawai kufika?!

Watu wanaitwa WAPINZANI na agenda yao ni kukamata dola bado unataka wawe washangiliaji kwa kila upuuzi na kuitikia Ndiyoooo kama mazwazwa! Hakunaga hilo, wacha wapinge kila kitu na wachelewe kushika dola lakini hakuna barabara isiyo na kona. Tutafika tu.
 
Uongozi ni dhamana ambayo kiongozi anapewa na watu kwa kumuamini na kumpigia kura ya ndiyo. Mtu anadhaminiwa kwa majukumu ya uongozi anatakiwa kuwa na weledi na uwezo wa kuongoza. Huwezi kuamka tu na kuota kugombea uongozi mkubwa kama urais ilhali watu hawajawahi kukuona ukiwa hata mbunge, ili uwe na uongozi wa juu unatakiwa uanzie wa chini.

Matarajio ya vyama vya siasa ni kushika dola ama kuendelea kushika dola. Kutokana na matarajio hayo vyama vya siasa vinabidi viwe na watu madhubuti wa kuweza kusimamia mipango na mikakati ya kushika dola. Hili halina mjadala ndani ya CCM. CCM ni chama kikongwe na kina mbinu nyingi za kukiwezesha kuendelea kushinda kila uchaguzi na hivyo kushika dola lakini hali ni tofauti kwa vyama vya upinzani. Vyama vya upinzani havijatisheleza kuwa na rasilimali watu wa kutosha kiasi kwamba tuweze kuwaamini kuwapeleka ikulu. Huu ni ukweli mchungu ,ila ukosefu wa watu makini na wa kutosha kunafanya watanzania wakose imani nao.

Upinzani umegeuka dodoki la kusafisha kila uchafu. Ukiwa fisadi na kama una nia ya kusafishwa na kung’aa kabisa jiunge upinzani. Mifano ipo mingi. Kusafisha watu ambao wamechafuka kisiasa kunapunguza credibility yao ya kuonekana ni chama mbadala na kuonekana ni furushi la uozo kwa watanzania. Kuendelea na tabia hii msahau kuja kushika dola. Watanzania wanaona na wanamua kupitia ballot box.

Upinzani wa kupinga kila kitu. Upinzani umegeuka chaka la kupinga mazuri ya serikali. Hii si nzuri kwenu, kwa sababu watu wanahitaji maendeleo na wanavyoona serikali yao inajitoa kuwaletea maendeleo na ninyi kupinga hayo maendeleo wapiga kura wanashindwa kuwaelewa. Watu watapigia kura maendeleo na kwa sababu ni CCM ndio inayoyaleta hayo maendeleo , wataendelea kuichagua CCM.

Upinzani kuamini katika migomo na maandamano badala ya mijadala. Hii pia ni sababu kubwa inayoifanya upinzani kushindwa kuimarika Tanzania. Watu inabidi wahamasishwe kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza umasikini na si kuwajaza watu barabarani kufanya migomo. Maandamano ni ishara ya kukosekana kwa suluhu ya majadiliano ambalo si jambo la kweli. Upinzani unatakiwa utoke kwenye kuamini maandamano mpaka kuamini katika majadiliano. Upinzani wa migomo na maandamano hauwezi kushinda popote pale duniani.

Kama upinzani usipoweza kutatua hizi changamoto isahau kuongoza nchi. Watanzania wanaona yanayoendelea, wanapima na watakuja kuamua kwenye sanduku la kura. Upinzani uache kuwa wa matukio na uwe wa matokeo.
FPT 2040[/QUOTupinzani halisi ni UMMA ba umma kwa sasa hauhitaji kuelezwa nn chakufanya 2020.... Ccm na Dola wamefanya kz kwe rahisi sana wameunganisha Umma
 
Mkuu FPT, haina ubishi tena kwamba Jiwe limepoteza uhalali wa kubaki Magogoni. Amekandamiza makundi yote ya kijamii. Wafanyabiashara wanatozwa kodi za kihayawani, wafanyakazi hawajapandishwa madaraja wala kupewa nyongeza ya mshahara huku wastaafu wakipewa asilimia 25 pekee ya mafao yao, wakulima mazao yao hayauziki huku tozo za mazao zikiwa juu. Amewazuia wahindi kununua korosho kule Kusini mwa Tanzania ili yeye azinunue lakini mpaka leo wakulima wanalia. Wanatamani hata hao wahindi warudi kuwanusuru. Hakuna mkulima aliyelipwa hadi sasa wakati wanajeshi wanaendelea kusomba korosho za wakulima toka kwenye maghala ya vyama vya ushirika. Huyu kiongozi ni muuaji.
 
Wakudadaavua umeshindwa kudadavua. Mleta anachambua mapungufu ya upinzani, Membe amekujaje?
 
TATIZO LA JIWE/KICHAA NA MASHABIKI WAKE NI MOJA TU NALO NI HILI, KILA MWENYE MAWAZO TOFAUTI HATA KAMA YAWE YA KUJENGA ATAAMBIWA ANAPINGA. HUWEZI KUENDELEA KWA KUTEGEMEA MAWAZO YAKO MWENYEWE.
 
Mkuu FPT, haina ubishi tena kwamba Jiwe limepoteza uhalali wa kubaki Magogoni. Amekandamiza makundi yote ya kijamii. Wafanyabiashara wanatozwa kodi za kihayawani, wafanyakazi hawajapandishwa madaraja wala kupewa nyongeza ya mshahara huku wastaafu wakipewa asilimia 25 pekee ya mafao yao, wakulima mazao yao hayauziki huku tozo za mazao zikiwa juu. Amewazuia wahindi kununua korosho kule Kusini mwa Tanzania ili yeye azinunue lakini mpaka leo wakulima wanalia. Wanatamani hata hao wahindi warudi kuwanusuru. Hakuna mkulima aliyelipwa hadi sasa wakati wanajeshi wanaendelea kusomba korosho za wakulima toka kwenye maghala ya vyama vya ushirika. Huyu kiongozi ni muuaji.
hayo unayaona wewe binafsi ila watanzania wanaona maendeleo na mabadiliko. sishangai kusema hayo kwa sababu kupinga kila kitu ndio kazi yenu
 
TATIZO LA JIWE/KICHAA NA MASHABIKI WAKE NI MOJA TU NALO NI HILI, KILA MWENYE MAWAZO TOFAUTI HATA KAMA YAWE YA KUJENGA ATAAMBIWA ANAPINGA. HUWEZI KUENDELEA KWA KUTEGEMEA MAWAZO YAKO MWENYEWE.
upinzani haujawahi kusifia hata kwa yale mazuri, kazi yao ni kupinga tu. hii si njema kwao
 
Mpuuzi mwili mzima, duniani popote ni kijijini kwenyu uswazi?! Weye ndio wale wale wa ng'o ng'o kumbe hata uingereza hujawai kufika?!

Watu wanaitwa WAPINZANI na agenda yao ni kukamata dola bado unataka wawe washangiliaji kwa kila upuuzi na kuitikia Ndiyoooo kama mazwazwa! Hakunaga hilo, wacha wapinge kila kitu na wachelewe kushika dola lakini hakuna barabara isiyo na kona. Tutafika tu.
mbona povu kamanda, wamekata jina lako kwenye posho?
 
Acha uongo, mbona Donald Trump hakuwahi hata kuwa mbunge lakini Wamarekani wamemchagua Urais.
 
Back
Top Bottom