Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 655
- 604
- Thread starter
- #41
Hahaaa hpna mkuu sio idara hyoHiiii zile elfu sita za uwalimu ndio tumfika hapa! Kazi tunayo....kama ninayo natoa tu as longer as it is a permanent contract.
Hahaaa hpna mkuu sio idara hyoHiiii zile elfu sita za uwalimu ndio tumfika hapa! Kazi tunayo....kama ninayo natoa tu as longer as it is a permanent contract.
Maneno kama haya yanasemwa na watu wachache sana mfano Fatuma karume babu alikuwa Rais na baba pia akawa Rais anaweza kuongea ivoUsitoe rushwa kupata kazi.
Huwezi kuifanya kwa ufanisi.
Sasa ukiwa na uwezo wa kutoa 2m...unashindwa kuanzisha biashara yeyote kwa hiyo 2m ..Usiwe mtumwa wa mawazo ya kijinga hvyo ...hv mbona watu mnaziabudu ajira hivyoHabari yenu wana jf.
Ikiwa imetokea nafasi au fursa ya kupata kazi serikalini lakini ukaambiwa utoe pesa huyo na ukahakikishiwa utapata kaz, vipi kwa upande wako ungetoa?
SahhKuna rafiki yangu (yeye ni mdogo kwangu hivyo huwa namuita mdogo wangu) alikwenda kwenye interview jijini Tanga miaka kama ya 2012/14 hivi. Anasema kwenye ule usahili yalijitokeza mambo ya ajabu sana kwani kulikuwa kuna rushwa za kila aina (kwa madai yake lakini) kama vile fedha, ngono n.k. Ajabu asilimia kubwa ya waliohusika kwenye rushwa hizo waliangukia pua.
Funzo; Epuka rushwa, na uipinge kadri uwezavyo
Nilitapeliwa elf 50 na bosi mkubwa tu Tena nilikua namwamini sana' ilikua hiv aliniambia nimtumie vyeti na cv Kuna kazi zinatoka ofisin kwake ataniweka ,,baada ya siku Kama nne hiv baada ya kumpatia cv na vyeti , akanipigia simu kwamba sija certify vyeti kwahiyo nimtumie elf 50 amalize mchakato na mwanasheria wa kampuni....nilimtumia ikawa ntoleee! Badae nilikuja kugundua ndio pigo zake hizo,,,kumbe kulikua na listi ndefu Sana ya wadau aliotupigaKuna jamaa yangu alipigwa Mill 2 Kwa ahadi ya kupata kazi TANAPA baada ya kutoa tu hiyo pesa jamaa (Yule boss)akawa hapatikani tena kwenye simu yaani...
Kwa ushauli labda upate kwanza hiyo kazi ndo utoe..
Mshahara 350,000Alaf mshahara unakuwa unalipwa sh ngap?
Huyu mama ana akili sana anacheza na udhaifu wa mfumo mbovu wa nchi yetu. Alishajua “the world is not fair” ko anacheza kwa kila namna kupambania kombe kwa vijana wake.Kuna rafiki yake bi mkubwa Ana watoto wanne tumekua nao binti yake wa pili nilisoma nae NI rafiki yangu Sana ila kanizidi kidogo maana alirudia Sana shue, kuanzia secondary alikua anahonga ili mtoto apate nafasi(private) maana hakuwa na grades nzuri mpaka akafika chuo alisoma ustawi wa jamii mama akahonga 3m akaajiriwa Kama clinical officer(kumbuka hakusoma clinical medicine), mdogo wake anayemfuatia alimaliza chuo mwaka 2019 alivyomaliza mama akahonga 1m dogo akapata nafasi ya kwenda jeshini bahati mbaya wakarudishwa baada ya tamko la mkuu, hakukaa Sana mama akahonga Tena sehemu 3m dogo kaanza kazi Kama wiki mbili zilizopita mshahara kaanza na 1.8m,
Mdogo wao wa mwisho alifeli form four bi mkubwa kahonga veta dogo kamaliza kozi ya umeme, mwenyewe anasema kuhusu future ya watoto wake yupo tayari kuhonga Hata 10m ikibidi.
MmmhMshahara 350,000
Kuna rafiki yake bi mkubwa Ana watoto wanne tumekua nao binti yake wa pili nilisoma nae NI rafiki yangu Sana ila kanizidi kidogo maana alirudia Sana shue, kuanzia secondary alikua anahonga ili mtoto apate nafasi(private) maana hakuwa na grades nzuri mpaka akafika chuo alisoma ustawi wa jamii mama akahonga 3m akaajiriwa Kama clinical officer(kumbuka hakusoma clinical medicine), mdogo wake anayemfuatia alimaliza chuo mwaka 2019 alivyomaliza mama akahonga 1m dogo akapata nafasi ya kwenda jeshini bahati mbaya wakarudishwa baada ya tamko la mkuu, hakukaa Sana mama akahonga Tena sehemu 3m dogo kaanza kazi Kama wiki mbili zilizopita mshahara kaanza na 1.8m,
Mdogo wao wa mwisho alifeli form four bi mkubwa kahonga veta dogo kamaliza kozi ya umeme, mwenyewe anasema kuhusu future ya watoto wake yupo tayari kuhonga Hata 10m ikibidi.
Kuna mda unaona ni sawa tu maana usipoonga napo utakuta mwanao ni mtu wa kufanyishwa usaili tu lakin ajira zinaenda kwa watoto wa wakubwa wao na ndugu zaoHuyu mama ana akili sana anacheza na udhaifu wa mfumo mbovu wa nchi yetu. Alishajua “the world is not fair” ko anacheza kwa kila namna kupambania kombe kwa vijana wake.
Kweli kabisa mkuu huku makazini tupo na watu incompetent kabisa mpaka unajiuliza hivi huyu alipataje hii kazi kumbe rushwaKuna mda unaona ni sawa tu maana usipoonga napo utakuta mwanao ni mtu wa kufanyishwa usaili tu lakin ajira zinaenda kwa watoto wa wakubwa wao na ndugu zao
Aisee hatari sanaa...huyo mama ni mission town sipati picha nae enzi zake za kupambana..Kuna rafiki yake bi mkubwa Ana watoto wanne tumekua nao binti yake wa pili nilisoma nae NI rafiki yangu Sana ila kanizidi kidogo maana alirudia Sana shue, kuanzia secondary alikua anahonga ili mtoto apate nafasi(private) maana hakuwa na grades nzuri mpaka akafika chuo alisoma ustawi wa jamii mama akahonga 3m akaajiriwa Kama clinical officer(kumbuka hakusoma clinical medicine), mdogo wake anayemfuatia alimaliza chuo mwaka 2019 alivyomaliza mama akahonga 1m dogo akapata nafasi ya kwenda jeshini bahati mbaya wakarudishwa baada ya tamko la mkuu, hakukaa Sana mama akahonga Tena sehemu 3m dogo kaanza kazi Kama wiki mbili zilizopita mshahara kaanza na 1.8m,
Mdogo wao wa mwisho alifeli form four bi mkubwa kahonga veta dogo kamaliza kozi ya umeme, mwenyewe anasema kuhusu future ya watoto wake yupo tayari kuhonga Hata 10m ikibidi.
Utapata milioni 30 kwa biashara ipi hapo kibandani?Hapana 1million nitaboresha kibanda changu baada ya mwaka milioni 30 sikosi.
Aisee hatari sanaa...huyo mama ni mission town sipati picha nae enzi zake za kupambana..
Hahahaa acha kabisa mkuu huyo mama ni noma kwanza aliishia std 7 tu Ila Ana miradi kibao wana duka lao Hilo wanauza kila kitu yaani ukitaka cement unapata mafuta ya kula, nguo za watoto,nafaka yaani kila kitu kipo,hapo Wana mashamba Kama yote wanalima alizeti,karanga na mahindi,anafuga nyuki wa asali na ng'ombe wa maziwa, saloon,guest house,halafu akaingia na kwenye siasa huko ndo kapata connection nyingi maana waheshimiwa hawakauki pale kwake ni noma sanaAisee hatari sanaa...huyo mama ni mission town sipati picha nae enzi zake za kupambana..