Kwa upande wako unaweza toa Tsh milioni 2 upate kazi ?

Kuna utapeli ndugu. Nami niliwahi kutapeliwa 400,000 miaka kadhaa iliyopita kwa ahadi za Kama hizi. Kuwa makini Sana, unaweza toa hiyo hela na kazi usipate. Kiukweli ajira za Sasa ni changamoto, unapoenda kuomba kazi Kuna watu Wana watoto/ndugu/majirani/rafiki wanahitaji ajira hizohizo.
Ilikuwaje mr
 
Kuna jamaa yangu alipigwa Mill 2 Kwa ahadi ya kupata kazi TANAPA baada ya kutoa tu hiyo pesa jamaa (Yule boss)akawa hapatikani tena kwenye simu yaani...
Kwa ushauli labda upate kwanza hiyo kazi ndo utoe..
 
Kuna jamaa yangu alipigwa Mill 2 Kwa ahadi ya kupata kazi TANAPA baada ya kutoa tu hiyo pesa jamaa (Yule boss)akawa hapatikani tena kwenye simu yaani...
Kwa ushauli labda upate kwanza hiyo kazi ndo utoe..
Aisee
 
Kuna jamaa yangu alipigwa Mill 2 Kwa ahadi ya kupata kazi TANAPA baada ya kutoa tu hiyo pesa jamaa (Yule boss)akawa hapatikani tena kwenye simu yaani...
Kwa ushauli labda upate kwanza hiyo kazi ndo utoe..
Hapo Ni sahihi kabisaa. Bora upate kazi mkataba kwanza ndipo uachie miezi hata 2
 
Hiiii zile elfu sita za uwalimu ndio tumfika hapa! Kazi tunayo....kama ninayo natoa tu as longer as it is a permanent contract.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom