kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,733
Tafadhali, sisi wakazi wa Wilaya ya Rungwe Mbeya na maeneo yote yanayozunguka, tunaomba sana Muwaruhusu Radio Chai FM waturushie matangazo yenu. Bila kupendelea au kuleta ushabiki, ni radio moja tunayoitegemea sana hapa kwetu.
Asanteni
Asanteni