Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
kama kuna waziri mkuu vitasa waliowahi kuipitia nchii basi wewe ni kitasa kibaya ambacho hata waweke surlii akikamati kabisa kwenye mlango
tar:........................siku..............................saa.......................
Ndugu zanguni nimepokea kwa masikitiko tuhuma zinazomkabili mh katibu wa nishati na madini..nimekaa na tume nikaongea nayo kwa kweli kuna umuhimu wa uchunguzi mkubwa kufanyika kwenye wizara ile,,mbaya zaidi zinaonekana saini za wabunge ambao awakupokea hizo hela ....katika yoteee mimi kama waziri mkuu sina cha kufanya kwa kuwa katibu anateuliwa na rais..laiti ningekuwa na madaraka hayo basi na kazi ingeisha leo hii..sasa basi nimeongea na mh rais huko nje anarudi karibuni ameomba tuwe watulivu anakuja na mimi kama mimi nimetoa ushauri wangu natumaiani ataufwata,,,,narudia tena laiti ningekuwa na uwezo wa kuteua makatibu basi leo hii aisngekuwa kazini mh jairo.....kwa hiyo ndugu zanguni naomba tuwe wavumilivu
----------------------------xxxx----------------------------xxxx-------------------------------------xxx------------------------
tar 30jan 12 ni siku sitoisahau kwa kuwauzi wafipa wote duniani akiwemo baba na mama yako na watanzania kwa ujumla kwa matamshi haya
""nasema tumekaa tumevumilia tumechoka nimekuwa nikiagiza watu kadhaa kukutana na hao ma dk naona hawana mpango wa kuacha huu mgomo sasa basi kama serikali tumeona na kuagiza yafuatayo mh waziri wa afya kuanzia kesho asbh yoyote asiefika kazini basi ajijue amejifuta kazi mwenyewe....naomba tunapotoka hapa kesho asbh uhakikishe umefanya uhakiki kamilifu nani amefika nani ajafika kazini..atuwezi kuvumilia kuona watu wanakufa kwa vitisho vya baadhi ya watu wachache...nawashukuru sana kwa kunipa muda wenu sijui alikuwa anasikilizwa na wehu ama lah
Majuzi hukooooooooooooooooo hii ndio kichekesho cha mwaka nasema hivi mbona mnataka kuharibu hotuba yangu hata vigelegele sijui alijua yuko ufipani..inaonekana akifika kule hadi leo wazee wanampigia vigelegele..nasema hivi mbona mmenuna hata vigelegele najua mmekaa kwa hamu kusubiri nitakachosema ninayo mambo mazuri natumaini tukitoka hapa tutakuwa na amani
Nimeka anikatafakari nikaona halii hii mpaka kufika hapa kuna baadhi ya watu wanatakiw akuwajibika..sasa basi kwa kuwa swala la katibu mkuu na mganga mkuu liko mikononi mwangu nimeamua kuanzia leo hii kuwaondoa kabisa na kuagiza doller kuanza maramoja kuhakiki tuhuma nilizoletewa na ma dk kuhusu katibu wetu na weningineo huko juu..
Kuuhusu waziri na naibu wake kwa kweli kama wameguswa na vifo na yoote yaliotokea basi na busara zitafwata mkondo wake ..mimi kama mimi nitampelekea maoni yangu yule aliewateua then kutoka hapo wataona wenyewe nini cha kufanya..
Unajua ukiona kila siku mtu anatuhumiwa huyo huyo ukiwa kama binadamu usipuuze hata maramoja kumbuka moja ya tuhuma ni vyombo vibovu vya hiv nawangapi wamekufa kwa jupimwa na kuonekana wanao kumbe lah...mbaya zaidi taarifa anilizonazo kuna vifaa vya figo vibovu kutoka china vimeagizwa mara ya kwanza watu wakalalamika badae mtu huypo huypo kaagiza mara ya pili..tukasema hapana hapa tunaitaji uchunguzi wa doller na ikipatikana hatia basi tutajua nini cha kufanya..
ndugu wapendwa wanangu napenda kuwahahakikishia kama mzazi hakuna atakaewafukuza hata kidogo ...najua wengi watauliza hili lakini wajue tumetumia garama kubwa sana sana kuwasomesha mpaka kufikia hapo mlipo napenda kuwahakikishia nimeongea na mwenyekiti wenu dk ulimboka kuna mambo baadhi tunjitahdi kuyamaliza tulioshindwa mtupe muda ,,,
Pamoja na hayo tunwaomba jamani mtupe mwezi mzima tukajipange lakini kesho muingie kazini tukawatibu wale wagonjwa jamani....
tar:........................siku..............................saa.......................
Ndugu zanguni nimepokea kwa masikitiko tuhuma zinazomkabili mh katibu wa nishati na madini..nimekaa na tume nikaongea nayo kwa kweli kuna umuhimu wa uchunguzi mkubwa kufanyika kwenye wizara ile,,mbaya zaidi zinaonekana saini za wabunge ambao awakupokea hizo hela ....katika yoteee mimi kama waziri mkuu sina cha kufanya kwa kuwa katibu anateuliwa na rais..laiti ningekuwa na madaraka hayo basi na kazi ingeisha leo hii..sasa basi nimeongea na mh rais huko nje anarudi karibuni ameomba tuwe watulivu anakuja na mimi kama mimi nimetoa ushauri wangu natumaiani ataufwata,,,,narudia tena laiti ningekuwa na uwezo wa kuteua makatibu basi leo hii aisngekuwa kazini mh jairo.....kwa hiyo ndugu zanguni naomba tuwe wavumilivu
----------------------------xxxx----------------------------xxxx-------------------------------------xxx------------------------
tar 30jan 12 ni siku sitoisahau kwa kuwauzi wafipa wote duniani akiwemo baba na mama yako na watanzania kwa ujumla kwa matamshi haya
""nasema tumekaa tumevumilia tumechoka nimekuwa nikiagiza watu kadhaa kukutana na hao ma dk naona hawana mpango wa kuacha huu mgomo sasa basi kama serikali tumeona na kuagiza yafuatayo mh waziri wa afya kuanzia kesho asbh yoyote asiefika kazini basi ajijue amejifuta kazi mwenyewe....naomba tunapotoka hapa kesho asbh uhakikishe umefanya uhakiki kamilifu nani amefika nani ajafika kazini..atuwezi kuvumilia kuona watu wanakufa kwa vitisho vya baadhi ya watu wachache...nawashukuru sana kwa kunipa muda wenu sijui alikuwa anasikilizwa na wehu ama lah
Majuzi hukooooooooooooooooo hii ndio kichekesho cha mwaka nasema hivi mbona mnataka kuharibu hotuba yangu hata vigelegele sijui alijua yuko ufipani..inaonekana akifika kule hadi leo wazee wanampigia vigelegele..nasema hivi mbona mmenuna hata vigelegele najua mmekaa kwa hamu kusubiri nitakachosema ninayo mambo mazuri natumaini tukitoka hapa tutakuwa na amani
Nimeka anikatafakari nikaona halii hii mpaka kufika hapa kuna baadhi ya watu wanatakiw akuwajibika..sasa basi kwa kuwa swala la katibu mkuu na mganga mkuu liko mikononi mwangu nimeamua kuanzia leo hii kuwaondoa kabisa na kuagiza doller kuanza maramoja kuhakiki tuhuma nilizoletewa na ma dk kuhusu katibu wetu na weningineo huko juu..
Kuuhusu waziri na naibu wake kwa kweli kama wameguswa na vifo na yoote yaliotokea basi na busara zitafwata mkondo wake ..mimi kama mimi nitampelekea maoni yangu yule aliewateua then kutoka hapo wataona wenyewe nini cha kufanya..
Unajua ukiona kila siku mtu anatuhumiwa huyo huyo ukiwa kama binadamu usipuuze hata maramoja kumbuka moja ya tuhuma ni vyombo vibovu vya hiv nawangapi wamekufa kwa jupimwa na kuonekana wanao kumbe lah...mbaya zaidi taarifa anilizonazo kuna vifaa vya figo vibovu kutoka china vimeagizwa mara ya kwanza watu wakalalamika badae mtu huypo huypo kaagiza mara ya pili..tukasema hapana hapa tunaitaji uchunguzi wa doller na ikipatikana hatia basi tutajua nini cha kufanya..
ndugu wapendwa wanangu napenda kuwahahakikishia kama mzazi hakuna atakaewafukuza hata kidogo ...najua wengi watauliza hili lakini wajue tumetumia garama kubwa sana sana kuwasomesha mpaka kufikia hapo mlipo napenda kuwahakikishia nimeongea na mwenyekiti wenu dk ulimboka kuna mambo baadhi tunjitahdi kuyamaliza tulioshindwa mtupe muda ,,,
Pamoja na hayo tunwaomba jamani mtupe mwezi mzima tukajipange lakini kesho muingie kazini tukawatibu wale wagonjwa jamani....