MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,734
1. Wamempiga Mwandishi wa Habari wa Michezo Mohamed Zubery ( wa kutoka Mtandao wa Bin Zubeiry ) pamoja na kuwaweka ndani Kituoni Yeye na Mwandishi mwenzake Oscar Oscar ( kutoka Efm na Dstv ) na Meneja wa Timu ya Taifa Daniel Msangi na Kumuharibia Vifaa vyake vya Kazi.
2. Askari waliokuwepo Uwanjani walimfuata Mtanzania aliyekuwa akilinda Vyumba vya Wachezaji wetu na wakamtishia na Silaha na wakamuondoa kwa nguvu.
3. Wakati Mchezo wa Taifa Stars ( Tanzania ) na Intamba Murugamba ( Burundi ) ukiendelea ' Makomandoo ' wa Burundi waliingia katika Vyumba vya Kubadilishia Nguo Wachezaji na Kumwaga Sumu ili Kuwadhoofisha Wachezaji wetu hali iliyosababisha Timu isiingie Vyumbani wakati wa Mapumziko.
4. Waandishi wa Habari wa Michezo walioongozana na Timu wamenyanyasika mno Uwanjani.
5. Mashabiki hasa wale ' Makomandoo ' wao waliufanyia Fujo Msafara wa Viongozi wa TFF uliokuwa ukiongozwa na Msemaji wa TFF Clifford Ndimbo.
6. Timu yetu imefanyiwa Vitendo vingi na vya Ajabu vya Kishirikina tena wazi wazi kabisa.
7. Watanzania waliokuwepo pale Uwanjani wametukanwa Matusi makubwa na ya Nguoni na Waburundi utadhani Sisi Tanzania hatujawasaidia katika Amani yao na hatujawatunzia Wakimbizi wao.
Tunaiomba Serikali ya Tanzania iwe Kimya na ituvumilie kidogo Sisi ' Mashabiki Mafia ' wa Soka la Tanzania ili nasi tujibu Mapigo kwa Waburundi Siku ya Jumapili ya tarehe 8 Septemba pale watakapokuja kurudiana nasi Jijini Dar es Salaa katika Uwanja wa Mkapa ( zamani kwa Mchina ) na wakirejea Kwao Bujumbura nchini Burundi wataenda Kuwahadithia Wenzao.
Watanzania ifike mwisho sasa Kujifanya ni Wakarimu sana kwa Wageni wanapokuja nchini Kwetu kwa Kigezo cha kwamba Sisi ni Wastaarabu na hapa ni Kisiwa cha Amani. Kumbukeni Mipira ya sasa ni Vita hivyo Mapambano huwa yanatakiwa kuwa ni ya ndani na nje ya Uwanja hivyo hakuna kuwaonea Huruma hawa Waburundi bali nasi tulipize Kisasi kwa kuwafanyia Unyama kuliko Wao.
2. Askari waliokuwepo Uwanjani walimfuata Mtanzania aliyekuwa akilinda Vyumba vya Wachezaji wetu na wakamtishia na Silaha na wakamuondoa kwa nguvu.
3. Wakati Mchezo wa Taifa Stars ( Tanzania ) na Intamba Murugamba ( Burundi ) ukiendelea ' Makomandoo ' wa Burundi waliingia katika Vyumba vya Kubadilishia Nguo Wachezaji na Kumwaga Sumu ili Kuwadhoofisha Wachezaji wetu hali iliyosababisha Timu isiingie Vyumbani wakati wa Mapumziko.
4. Waandishi wa Habari wa Michezo walioongozana na Timu wamenyanyasika mno Uwanjani.
5. Mashabiki hasa wale ' Makomandoo ' wao waliufanyia Fujo Msafara wa Viongozi wa TFF uliokuwa ukiongozwa na Msemaji wa TFF Clifford Ndimbo.
6. Timu yetu imefanyiwa Vitendo vingi na vya Ajabu vya Kishirikina tena wazi wazi kabisa.
7. Watanzania waliokuwepo pale Uwanjani wametukanwa Matusi makubwa na ya Nguoni na Waburundi utadhani Sisi Tanzania hatujawasaidia katika Amani yao na hatujawatunzia Wakimbizi wao.
Tunaiomba Serikali ya Tanzania iwe Kimya na ituvumilie kidogo Sisi ' Mashabiki Mafia ' wa Soka la Tanzania ili nasi tujibu Mapigo kwa Waburundi Siku ya Jumapili ya tarehe 8 Septemba pale watakapokuja kurudiana nasi Jijini Dar es Salaa katika Uwanja wa Mkapa ( zamani kwa Mchina ) na wakirejea Kwao Bujumbura nchini Burundi wataenda Kuwahadithia Wenzao.
Watanzania ifike mwisho sasa Kujifanya ni Wakarimu sana kwa Wageni wanapokuja nchini Kwetu kwa Kigezo cha kwamba Sisi ni Wastaarabu na hapa ni Kisiwa cha Amani. Kumbukeni Mipira ya sasa ni Vita hivyo Mapambano huwa yanatakiwa kuwa ni ya ndani na nje ya Uwanja hivyo hakuna kuwaonea Huruma hawa Waburundi bali nasi tulipize Kisasi kwa kuwafanyia Unyama kuliko Wao.