Mkali wa wakalii
New Member
- Oct 29, 2020
- 2
- 2
Kama unabisha hili toa hoja tuamini. Mimi ninaamini DIT wanafunzi wa kiume ni wengi kuliko wanafunzi wa kike.
Sawa mkuu.. lakin kila mtu na uhuru wake wakufanya achotakaUmekosa kazi mkuu?
Sawa fanya unachotakaSawa mkuu.. lakin kila mtu na uhuru wake wakufanya achotaka
, mbona hio ni kawaida kwa kozi nyingi kujaza wanaume kuliko wanawake.Kama unabisha hili toa hoja tuamini. Mimi ninaamini DIT wanafunzi wa kiume ni wengi kuliko wanafunzi wa kike.
Kwani kuna maji ya kuoga pale?😀Kama unabisha hili toa hoja tuamini. Mimi ninaamini DIT wanafunzi wa kiume ni wengi kuliko wanafunzi wa kike.