Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,949
- 103,302
Kilichokuw kwenye kicha changu huwezi kukijua
Kipindi cha matatizo kama haya wanasiasa wanakuwa wanaunganishwa na matatizo na kunakuwa na ari moja ya kutaka kupambana nao tena angalia nchi za wenzetu ila kwetu Africa wanasiasa wanataka kupatia umaarufu maswala kama haya na hawana mshikamano kabisa. .
Kweli mkuu nimeamini umeandika kwa hasira, mpaka umeamua kutokuweka koma wala nukta!