Kwa ufupi: Bilal alikuwa aondoke CCM...

niliwahi kuwaambia hapa kuwa unafiki ni mbaya sana. jana jk alikuwa hana pa kutokea isipokuwa kutaja jina la Bilal

ila kuna watu wameniudh sana hapa jf, huwa wanapinga sana sera za ccm na jk wake hapa janvini lakini juzi na jana walikuwa dom na tena wanariport hapa janvini yanayojiri. Wanafiki wakubwa

heri malaria sugu aliyejiweka wazi
 
Bilal baada ya kushindwa kihalali tena kwa kura nyingi, angejitoa CCM aende wapi?

Zanzibar ni CCM na CUF tu, kule CUF kuna wenye chama, yeye sana sana ambacho angeweza kukifanya ni kuwasaidia CUF washinde.

Waandishi wa habari hawakosi cha kuandika, watajaribu kutafuta mkono wamtu kwenye kila jambo.
 
Edson, sio lazima wawe ni wanafiki, wanaweza kuwa ni maripota tuu, kazi yao kuripoti kinachojiri, hivyo hata kama hukubaliani na JK na CCM yake, when it comes to facts, JK ndie rais wako, wangu, wa Lipumba, Seif, Chadema etc na CCM ndicho chama tawala, tukipende tusikipende, tukikubali, tusikikubali, ila facts ndizo hizo.

Kwa mfano mimi binafsi, CCM inanitia kichefu chefu, lakini bado ningekuwepo Kizota jana, ningeripoti kinachojiri, na labda hata ku appreciate jinsi JK alivyokuwa anayarudi kwa pride jana baada ya kumaliza mkutano wao, na bado nikirudi forum kwenye opinioni, napinga nyundo za kufa mtu.

Au japo sio mwana CCM na sio mwana Chadema, au sina chama chochote ninachoshabikia, siipendi CCM kutokana na marorosa yake, bado hiyo Octoba 31, naweza kujikta nalazimika kuichagua CCM hiyi hiyo mbaya na uoza wake, simply because sijaona chama kingine chochote cha kuchagua, kwa mtindo wa heri zimwi likujualo, ndio maana nimekuwa nikisisitiza sana, Watanzania wengi, wemeichokav sana CCM, ila kwa vile wapinzani hawajajiaminisha, CCM, itaendelea kuchaguliwa.


Haionyeshi kuwa upo serious na nini unakipinga na kukikubali, utetezi wako wa kuendelea kuichagua CCM hauna mashiko kimantiki.
 
Kwa nini tupo busy kuongelea ifs za CCM, Bilal, Jk, naona wengi tumeingia mkumbo wa kudhani kuwa ni lazima tutawaliwe na CCM, na bila wao maisha kwenye sayari hii yatayeyuka. Hebu tuwe wakweli kidogo, ina maana hakuna escape route nyingine? Tuko busy kupanga permutations za Jk kama vile huyu jamaa ndio anagawa uhai wakati ukweli unajulikana kuwa hana jipya la kuoffer kwa taifa hili zaidi ya kuwa ceremonial president.
 
.
Mzee Mwanakijiji, in politics, hakuna permanent friends au permanent enemies, only convenience. Bilal was an enemy, ili kushinda vita, keep close your friends, and enemies even closer, so they can't trike you.

Shein alitumwa ili kuunusuru muafaka baada ya Bilal kupiga kampeni ya wazi wazi, atapiga no kwenye referendum. Baada ya Shein kupita, wakapima upepo, na kujaribu kupima vumbi atakalorudi nalo Zanzibar, ndipo wakaamua bora wampooze, vinginevyo hakuliki wala hakulaliki.

Mambo mawili yatafuata.

La kwanza, kama Bilal alikuwa anautaka urais wa Zanzibar kwa nia ya dhati, then hata huu umakamo kwake ni boya tuu, hivyo he will still hit'em hard! na wafuasi wake hata back down kwa kilemba cha ukoka cha U VC, hivyo mushindi ni kwa Seif.

La pili, kuna uwezekano mkubwa Bilal kaahidiwa 2015 anarudi Zanzibar, Shein anakuja Bara, Membe ndio VC, hivyo atavumilia, kwa kujifariji na ving'ora na mafao kwa miaka 5 tuu, hivyo atawapooza wafuasi wake ili kuipa CCM ushindi.

Kwenye vita, ni do or die, Bilal aliamua to do mpaka afe, ila pia unapofika mahali ukagundua adui yako ana nguvu kuliko wewe, na ukiendelea kupigana ni hakika utashindwa na utaishia kujifia kibudu, the better join them au ili tuu uendelee kuishi na manung'uniko moyoni, ama ili kujitenga upya, ukishajihakikishia una nguvu za kutosha, ndipo uta strike again.

Bilal baada ya kushindwa, kakubali yaishe, ame wa join them now against one common enemy CUF.

Na hivi ndivyo mnavyovyakiwa kufanya na CCJ yenu, ama join them ama tuunganishe nguvu against common enemy, other wise, we are doomed and will remain doomed!.

Mkuu hawa wawili Umri umeenda sana sidhani kama 2015 watamudu tena kugombea nafasi hizo unazofikiria, hata Shein sioni kama atamudu vipindi viwili Zanzibar kama atachaguliwa. Ushauri wangu binafsi kwa Shein ni kuwa kama ilivyokuwa Rais Idrissa Abdul Wakili, na yeye kipindi kimoja kinamtosha kuandika historia ya kuongoza Zanzibar
 
Kazi alimaliza Salmin na ndio maana akliondoka mapema kuwahi mpira........hakuwepo kwenye blabla za usiku wa jana....alikuwa na mbeleko ya chuma kwa ajili ya Bilal
 
baada ya dk shein kuteuliwa mgombea wa ccm nilifanya ziara kisiwani znz, nilitembelea maskani nyingi za ccm za shamba na mjini , nilionana na wakereketwa wa ccm na wazi walionyesha kukata tamaa baada ya dk bilali kutupwa ktk system ya kura za maoni
watu wa kawaida wa ccm walisema hawata piga kura baada ya dk bilali kutupwa.
Nilipotembelea ngome kuu za cuf pale mtendeni ktk mazungumzo yao yasio rasmi wakisema mwaka huu ccm kwisha. Waliamini kwani kura za donge, mkwajuni, fumba, makunduchi , kizimkazi na kwengine ngome ya ccm zitapungua kwa kasi hasa baada ya dk bilali kutupwa nje ya system na maalim kuibuka kidedea cha ajabu. Wanaccm wengi waliona kwamba huu ndio mwisho wa ccm kutawala zenj.
Niliporudi dar na kukimbilia dodoma nikingonja nini hatma ya ccm zenj baada ya dk bilali kutupwa, niliamini uwezo wa jk ndio utanusuru zenj.
Uwezo wa jk kama kiongozi makini ulinifanya bado niamini kwamba ccm zenj itaibuka kidedea.
Hatimae saa ilipokaribia jk kaonesha yeye ni kiongozi mwenye upeo wa juu, kamtaja jina la gharib. Heko jk
jana sikulala, simu yangu ilikuwa bize. Wanaccm wakinipigia simu na kunieleza sasa wako fiti kuikabili cuf, hawana kinyongo tena, wamefurahi sana na hakuna tena kizungunguzungu
jk is intelligentv leader

pole
 
Kazi alimaliza Salmin na ndio maana akliondoka mapema kuwahi mpira........hakuwepo kwenye blabla za usiku wa jana....alikuwa na mbeleko ya chuma kwa ajili ya Bilal
Bilal ni temporary, kazi yake kubwa ni kusaidia CCM ishinde Zenji baada ya hapo atabwagwa. Hana nafasi ya kufika 2015.
 
chrtsrv.dll
 
mimi wameniudhi sana kuendelea kutuonyesha mambo ya CCM wakati huku mpira kumbe ulishaanza muda tu, wameanza kuonyesha dk ya 21 ya kipindi cha 1,
 
niliwahi kuwaambia hapa kuwa unafiki ni mbaya sana. jana jk alikuwa hana pa kutokea isipokuwa kutaja jina la Bilal

ila kuna watu wameniudh sana hapa jf, huwa wanapinga sana sera za ccm na jk wake hapa janvini lakini juzi na jana walikuwa dom na tena wanariport hapa janvini yanayojiri. Wanafiki wakubwa

heri malaria sugu aliyejiweka wazi

Utawezaje kupinga kitu usichokifahamu? Kuwepo Dodoma si kumesaidia kutujuza kinachoendelea huko?. Nadhani wako sahihi tu na kama wasingekuwa huko tusingekuwa tukijua ABC za JK na vipande vyake vya CCM japo jana walionekana kuwa wamoja zaidi. Utashi wao wa kusema hapana kwa utawala huu hapa jamvini haudhani pia ni mchango wao katika kuelimisha jamii na kuleta mabadiliko nchini?
 
Edson, sio lazima wawe ni wanafiki, wanaweza kuwa ni maripota tuu, kazi yao kuripoti kinachojiri, hivyo hata kama hukubaliani na JK na CCM yake, when it comes to facts, JK ndie rais wako, wangu, wa Lipumba, Seif, Chadema etc na CCM ndicho chama tawala, tukipende tusikipende, tukikubali, tusikikubali, ila facts ndizo hizo.

Kwa mfano mimi binafsi, CCM inanitia kichefu chefu, lakini bado ningekuwepo Kizota jana, ningeripoti kinachojiri, na labda hata ku appreciate jinsi JK alivyokuwa anayarudi kwa pride jana baada ya kumaliza mkutano wao, na bado nikirudi forum kwenye opinioni, napinga nyundo za kufa mtu.

Au japo sio mwana CCM na sio mwana Chadema, au sina chama chochote ninachoshabikia, siipendi CCM kutokana na marorosa yake, bado hiyo Octoba 31, naweza kujikta nalazimika kuichagua CCM hiyi hiyo mbaya na uoza wake, simply because sijaona chama kingine chochote cha kuchagua, kwa mtindo wa heri zimwi likujualo, ndio maana nimekuwa nikisisitiza sana, Watanzania wengi, wemeichokav sana CCM, ila kwa vile wapinzani hawajajiaminisha, CCM, itaendelea kuchaguliwa.

Bravoooooo mkuu.
 
Siasa ni mchezo wa ajabu sana.Unakila aina ya mbwembwe na vituko vya ajabu.Hoja yangu ya msingi nikuwa nimeshangazwa na uamuzi wa Dr Bilal kukubali uteuzi huu...kukubali kuwa rubber stamp.SIkutarajia kama angekubali..
 
mimi wameniudhi sana kuendelea kutuonyesha mambo ya CCM wakati huku mpira kumbe ulishaanza muda tu, wameanza kuonyesha dk ya 21 ya kipindi cha 1,

Sikuwa na haja ya kuangalia mpira TBC tulikwenda kuangalia match kwenye big screen akaja jamaa anaomba watoe supersport ili aangalie Kikwete anatangaza mgombea mwenza tulimtoa mbio vibaya sana. TBC wameshindwa kujua role yao, hawajui tofauti kati ya CCM na serikali. Hawajui interest zinatofautiana maana walipoanzisha TBC2 tulidhani wametatua mgongano wa ratiba lakini hovyoooooooo! Shule gani wamekwenda wale au ndiyo kujikomba kwa JK maana nilimwona Tido ndani ya mavazi ya kijani anahangaika kama panya mwenye njaa kali
 
Back
Top Bottom