Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,844
- 5,060
niliwahi kuwaambia hapa kuwa unafiki ni mbaya sana. jana jk alikuwa hana pa kutokea isipokuwa kutaja jina la Bilal
ila kuna watu wameniudh sana hapa jf, huwa wanapinga sana sera za ccm na jk wake hapa janvini lakini juzi na jana walikuwa dom na tena wanariport hapa janvini yanayojiri. Wanafiki wakubwa
heri malaria sugu aliyejiweka wazi
ila kuna watu wameniudh sana hapa jf, huwa wanapinga sana sera za ccm na jk wake hapa janvini lakini juzi na jana walikuwa dom na tena wanariport hapa janvini yanayojiri. Wanafiki wakubwa
heri malaria sugu aliyejiweka wazi