Kwa ufaulu huu naweza kuapply kozi ya MD katika vyuo hivi?

Sam 1

Member
Jul 19, 2016
15
23
Habari zenu wanajamvi. Mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu (2016) na nimepata Div 1.9 kwa mchepuo wa PCB. Kwa ufaulu huu naweza apply vyuo kwa mpangilio ufuatao:
1. MUHAS
2. UDSM
Naombeni ushauri wenu maana ndoto zangu ni kusoma MD.
Pia minimum number ya ku apply vyuo ni vingapi?
 
Habari zenu wanajamvi. Mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu (2016) na nimepata Div 1.9. Kwa ufaulu huu naweza apply vyuo kwa mpangilio ufuatao:
1. MUHAS
2. UDSM
Naombeni ushauri wenu maana ndoto zangu nu kusoma MUHAS.
Pia minimum number ya ku apply vyuo ni vingapi?

specify combination uliyosoma ili nijue cha kukushauri usije ukawa ni arts au biashara afu unataka uombe MD
 
Hapo hayo matokeo ukiyaconvert kwenye g.p.a una 3.0 hio mwaka jana wachache walienda udom esp wasichana na wengine wavulana wakakosa vyuo vya selikali md.....kwa ushauri anza kuapply UDOM
 
MD wanachukua CUHAS, KCMC (3.1m) na St Joseph (5.71m) minimum 5 points; AJUCO, Kampala MBBS (6.7m) na Kairuki minimum 4.5 points; UDSM (1.8m) minimum 7 points na MUHAS (1.8m) minimum 8 points. Kama ushindani ni mkubwa zinaweza kuwa juu zaidi. Grant au Mkopo 1.8m
 
Habari zenu wanajamvi. Mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu (2016) na nimepata Div 1.9 kwa mchepuo wa PCB. Kwa ufaulu huu naweza apply vyuo kwa mpangilio ufuatao:
1. MUHAS
2. UDSM
Naombeni ushauri wenu maana ndoto zangu ni kusoma MD.
Pia minimum number ya ku apply vyuo ni vingapi?
ndugu kipindi hiki ni kigumu ili uende muhas wanataka minimum 8pts yani BB kwa udsm hiyo kiti imefutwa....pole cn ila vyuo vya private wanataka 4.5 but kwa udom pia imefutwa...
 
ndugu kipindi hiki ni kigumu ili uende muhas wanataka minimum 8pts yani BB kwa udsm hiyo kiti imefutwa....pole cn ila vyuo vya private wanataka 4.5 but kwa udom pia imefutwa...

Unampa pole ya nini sasa?

Ina maana mwenye Div1.9 hana minimum ya point 8 kwenye masomo matatu?
 
Hapo hayo matokeo ukiyaconvert kwenye g.p.a una 3.0 hio mwaka jana wachache walienda udom esp wasichana na wengine wavulana wakakosa vyuo vya selikali md.....kwa ushauri anza kuapply UDOM
Hapo hayo matokeo ukiyaconvert kwenye g.p.a una 3.0 hio mwaka jana wachache walienda udom esp wasichana na wengine wavulana wakakosa vyuo vya selikali md.....kwa ushauri anza kuapply UDOM
Sio kweli,C ya mwaka huu ni B+ ya mwaka Jana,60-69 kwahiyo ana GPA ya 4.0
 
Habari zenu wanajamvi. Mimi nimemaliza kidato cha sita mwaka huu (2016) na nimepata Div 1.9 kwa mchepuo wa PCB. Kwa ufaulu huu naweza apply vyuo kwa mpangilio ufuatao:
1. MUHAS
2. UDSM
Naombeni ushauri wenu maana ndoto zangu ni kusoma MD.
Pia minimum number ya ku apply vyuo ni vingapi?

Hiyo Div1.9 ya PCB kama umepata CCC nafasi unayo though kipindi hiki competition ni kubwa kwa MD sababu vyuo vinne havichukui wanafunzi mwaka huu wa masomo
 
ndugu kipindi hiki ni kigumu ili uende muhas wanataka minimum 8pts yani BB kwa udsm hiyo kiti imefutwa....pole cn ila vyuo vya private wanataka 4.5 but kwa udom pia imefutwa...

Acha urongo kijana

Points 8 za MUHAS ni from 3 subjects,kwa maana minimum ni CCD na sio BB zako.

UDSM hawajafuta kitu
 
Back
Top Bottom