GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,545
- 108,873
Mwenye Chama chake cha ACT - Wazalendo Zitto Kabwe
Nitamuunga mkono na Kumpigia Kura Tundu Lissu
Aliyekaribishwa 'Kimkakati' ndani ya Chama Maalim Seif Sharrif Hamad
Maamuzi yote ya Chama cha ACT - Wazalendo ni kuwa tunamuunga Mkono Mgombea Tundu Lissu wa CHADEMA
Mgeni wa 'Kuokotwa' na 'Kukopeshwa' Umaarufu ndani ya Chama cha ACT - Wazalendo Bernard Membe
Nikwahakikishie Watanzania mimi ni mgombea halali kabisa wa ACT WAZALENDO na nitashiriki kwenye uchaguzi huu kwa tiketi ya chama hiki niwaondoe hofu. Mimi ni mgombea halali wa Chama cha ACT - Wazalendo na nitakipeleka chama changu kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 28, chama kimoja pekee ndiyo kinaweza kuondoa utawala uliopo madarakani, kuungana bado hakujafanikiwa Afrika.
Kama 'Upinzani' nchini Tanzania utakuja 'Kuing'oa' CCM 'Madarakani' basi huenda ikawa ni mwaka wa 10000 / 100000 tu ijayo kabisa ila siyo sasa.
Nitamuunga mkono na Kumpigia Kura Tundu Lissu
Aliyekaribishwa 'Kimkakati' ndani ya Chama Maalim Seif Sharrif Hamad
Maamuzi yote ya Chama cha ACT - Wazalendo ni kuwa tunamuunga Mkono Mgombea Tundu Lissu wa CHADEMA
Mgeni wa 'Kuokotwa' na 'Kukopeshwa' Umaarufu ndani ya Chama cha ACT - Wazalendo Bernard Membe
Nikwahakikishie Watanzania mimi ni mgombea halali kabisa wa ACT WAZALENDO na nitashiriki kwenye uchaguzi huu kwa tiketi ya chama hiki niwaondoe hofu. Mimi ni mgombea halali wa Chama cha ACT - Wazalendo na nitakipeleka chama changu kwenye uchaguzi mkuu Oktoba 28, chama kimoja pekee ndiyo kinaweza kuondoa utawala uliopo madarakani, kuungana bado hakujafanikiwa Afrika.
Kama 'Upinzani' nchini Tanzania utakuja 'Kuing'oa' CCM 'Madarakani' basi huenda ikawa ni mwaka wa 10000 / 100000 tu ijayo kabisa ila siyo sasa.