Kwa uchumi wa sasa, uswahilini kuna fursa nyingi

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
3,626
9,173
Baada ya Fremu ya laki na ishirini kwa mwezi kunitoa nishai nimeamua kukimbilia uswahilini, kwanza kodi ya mwezi mmoja (laki na ishirini) uswahilini ni kodi ya miezi minne.

Watu wengi mzunguko wa pesa mzuri kwenye bidhaa zenye bei ndogo.

Kwa mnaoanza biashara na mna mitaji midogo nendeni uswahilini.

NB: hakikisha unaweka biashara yako katika eneo lenye ulinzi.
 
Mfano kuna jamaa nimemuona kwenye mkusanyiko wa watu pembeni kuna genge yeye kaweka jiko la mawe matatu linalobeba sufulia kubwa jamaa anapika pilau nyama na anafunga kama wauza chipsi

Anafunga kwa buku buku, wateja anao wa kutosha, mtaji hata laki haufiki
 
Mkuu pole sana..ndo umeshtukia leo..wenzio tulianza tokea awamu iliyopita, ma frem ya kulipa lak4 kwa mwez waaachiea slay queen wanaolipiwa kodi na ma sponsor ambao kila kukicha wanabadili biashara.

Uswahilin ndo kwenye pesa huon kina Mo Bakhresa wamewekeza kwenye products za uswahilin za watu wote wale hawauz magari wala spea hahahha uswahili ukipapatia raha sana.na wala usitafte faida kubwa. Faida ndogo tu ila hakikisha una ma goli ya kutosha.
 
Mfano kuna jamaa nimemuona kwenye mkusanyiko wa watu pembeni kuna genge yeye kaweka jiko la mawe matatu linalobeba sufulia kubwa jamaa anapika pilau nyama na anafunga kama wauza chipsi

Anafunga kwa buku buku, wateja anao wa kutosha, mtaji hata laki haufiki
Mkuu ni biashara gani unaifanya? Ilikuwaje huko kwenye kodi ya 120 isikulipe hakukuwa na mzunguko mkubwa wa watu kama uswahilini ulipoamia?

Au aina ya biashara huku uswazi ulipo inatoka zaidi kuliko ulipopanga mwanzo?

Naunga mkono hziz biashara za kwenye ma frame ya bei, TRA, municipal, ulinzi, usafi n.k kama mtaji ni mdogo ni heri mtu ukakwepa kabisa kuzifanya kwa hali ya sasa.

Unakuta gharama ya kuendesha biashara ni kubwa kuliko faida.
 
Mkuu ni biashara gani unaifanya? Ilikuwaje huko kwenye kodi ya 120 isikulipe hakukuwa na mzunguko mkubwa wa watu kama uswahilini ulipoamia?

Au aina ya biashara huku uswazi ulipo inatoka zaidi kuliko ulipopanga mwanzo?

Naunga mkono hziz biashara za kwenye ma frame ya bei, TRA, municipal, ulinzi, usafi n.k kama mtaji ni mdogo ni heri mtu ukakwepa kabisa kuzifanya kwa hali ya sasa...

Unakuta gharama ya kuendesha biashara ni kubwa kuliko faida.
Akijibu nitag mkuu, maana nina cha kujifunza hapa
 
Mkuu ni biashara gani unaifanya? Ilikuwaje huko kwenye kodi ya 120 isikulipe hakukuwa na mzunguko mkubwa wa watu kama uswahilini ulipoamia?

Au aina ya biashara huku uswazi ulipo inatoka zaidi kuliko ulipopanga mwanzo?

Naunga mkono hziz biashara za kwenye ma frame ya bei, TRA, municipal, ulinzi, usafi n.k kama mtaji ni mdogo ni heri mtu ukakwepa kabisa kuzifanya kwa hali ya sasa...

Unakuta gharama ya kuendesha biashara ni kubwa kuliko faida.
Mkuu sina ya biashara ninayoifanya kwa sasa siwezi kukuambia but nitakuja kuielezea kwa kirefu Siku za baadae,

All in all nilivohamia uswahilini ndani ya siku nne tayari nilianza kuuza kwa wingi japo dio sanaaa ambapo ni tofauti na kule kwenye mafremu ya bei kubwa,

Yaani kama ningeanzia huku uswazi sasa hivi ningekuwa mbali sana tena sanaaaa,

Kitu kingine huku uswahilini suala la usafi hawalizingatiii kabisaaa, alafu unaweza kuanza na mtaji hata wa elfu kumi maana kuna bro anauza ubuyu, popcorn, karanga na ufuta wateja wake ni wanafunzi na wasio wanafunzi.
 
Wenzako now days frem ni center tuu wamewekeza kwenye digital marketing , unaweza shangaa mwenzako amekaa sku nzima hujaona mtu anaingia kwenye frem Ila anasurvive .... Ukitumia frem alaf utegemee.

Watu waje dukani kama ilivyo uswahilini lazima usande .....tatizo la uswahilini kurogana kwingi , na kuibiana , wivu , chuki na visanga vya hapa na pale .... Kiufupi biashara ya uswahilini ina watu wake na ina Aina zake za biashara ,kama na wewe ni mswahili you don't care about smartness ....basi uswahilini utapiga hela Sana
 
Akijibu nitag mkuu, maana nina cha kujifunza hapa
Mkuu kama inategemea utajifunza kwa comment hususani kwenye biashara basi jua tu kuwa utajifunza kwa asilimia 5% , ukitala kujifunza ingia kwenye game ndio utajifunza
51wG6wB44VL._AC_SY780_.jpg
 
Wenzako now days frem ni center tuu wamewekeza kwenye digital marketing , unaweza shangaa mwenzako amekaa sku nzima hujaona mtu anaingia kwenye frem Ila anasurvive .... Ukitumia frem alaf utegemee. Watu waje dukani kama ilivyo uswahilini lazima usande .....tatizo la uswahilini kurogana kwingi , na kuibiana , wivu , chuki na visanga vya hapa na pale .... Kiufupi biashara ya uswahilini ina watu wake na ina Aina zake za biashara ,kama na wewe ni mswahili you don't care about smartness ....basi uswahilini utapiga hela Sana
Tatizo la wabongo hampendi kuumiza vichwa, hampendi kuonja radha halisi ya kile mnachosimuliwa,

Nilishawahi kutest ndumba hazikufanya kazi nikaachana nazo mbona nauza vizuri tu na kanisani huwa siendi!

Wewe bado hujapigika au pengine una ajira ndio maana unachagua maeneo
 
Tatizo la wabongo hampendi kuumiza vichwa, hampendi kuonja radha halisi ya kile mnachosimuliwa,

Nilishawahi kutest ndumba hazikufanya kazi nikaachana nazo mbona nauza vizuri tu na kanisani huwa siendi!

Wewe bado hujapigika au pengine una ajira ndio maana unachagua maeneo
Mkuu mi sina ajira ya kuajiriwa ,nimejiajir boss , nishafanya biashara Sana uswahilini Ila niliona mi ni pagumu , sema nikakutana na jamaa yangu yupo Magomeni anauza computer , yupo kwenye frem , akanambia ana miaka mitano hapo Kwa mda huo wote anakwambia wateja wa hapo Magomeni hawazidi hata kumi , yeye anauza online tuu , akifungua ofisi ujue anapeleka bidhaa sehemu ....
Na Mimi nikabadili mtazamo ndo mambo yakaenda enda

So kuna biashara za uswahilini na zina aina ya watu wake Mimi siziwezi , fitina ilikuwa kubwa Sana , eneo mara uzinguliwe mara mwenye sehemu aseme hivi, washindani wako wakufanyie vile , mara umeibiwa ....daaah mkuuu Mimi uswahili siwez boss ,
 
Mkuu mi sina ajira ya kuajiriwa ,nimejiajir boss , nishafanya biashara Sana uswahilini Ila niliona mi ni pagumu , sema nikakutana na jamaa yangu yupo Magomeni anauza computer , yupo kwenye frem , akanambia ana miaka mitano hapo Kwa mda huo wote anakwambia wateja wa hapo Magomeni hawazidi hata kumi , yeye anauza online tuu , akifungua ofisi ujue anapeleka bidhaa sehemu ....
Na Mimi nikabadili mtazamo ndo mambo yakaenda enda

So kuna biashara za uswahilini na zina aina ya watu wake Mimi siziwezi , fitina ilikuwa kubwa Sana , eneo mara uzinguliwe mara mwenye sehemu aseme hivi, washindani wako wakufanyie vile , mara umeibiwa ....daaah mkuuu Mimi uswahili siwez boss ,
Hizo ni changamoto boss zipo kila sehemu,
Nilichokiona ni kwamba wewe ulikata tamaa wenzako alimanusura tufilisike na tulikuwa tunauza huko kwenye mafremu ya bei kubwa kwenye ulinzi, ambako hakuna fitina,

Kitu kingine mkuu USHINDANI hukuuzingatia sasa unataka ukauze makompyuta Dar wakati watu wamekalili kariakoo au mlimani city ndiko kwenye makompyuta,

Why usingeenda uswahilini kwenye mtaa uliochangamka ukachukua ka fremu au kibanda na unatafuta sehemu ya kuhifadhi bidhaa zako kwa usalama, ukauza hata mkaa, au vyakula kwa bei ya chini ila itakauokupa faida? Kiufupi biashara zinazolipa uswazi ziko nyingi sana kuna jamaa anauza pilau nyama anafunga kama wauza chipsi kwanini nawewe usitafute kituo cha maboda boda au kwenye mikusanyiko au kijiwe ukaweka mtu apike na auze huku wewe umefulia pembeni unacheza draft na wana tena hiyo biashara haihitaji hata fremu ni wewe na mstofali matatu mkaa sufulia plus vifungashio,

Mfano biashara nayofanya mimi nilipoenda kutafuta fremu kwa fu 30 mwenye nyumba aliniwahi kunipa mkataba na akaniambia nilipe haraka kumbe uwani mvua ikinyesha maji yanatuama yanavuja chini kwa chini yanajaa ndani kwenye fremu
 
Hizo ni changamoto boss zipo kila sehemu,
Nilichokiona ni kwamba wewe ulikata tamaa wenzako alimanusura tufilisike na tulikuwa tunauza huko kwenye mafremu ya bei kubwa kwenye ulinzi, ambako hakuna fitina,

Kitu kingine mkuu USHINDANI hukuuzingatia sasa unataka ukauze makompyuta Dar wakati watu wamekalili kariakoo au mlimani city ndiko kwenye makompyuta,

Why usingeenda uswahilini kwenye mtaa uliochangamka ukachukua ka fremu au kibanda na unatafuta sehemu ya kuhifadhi bidhaa zako kwa usalama, ukauza hata mkaa, au vyakula kwa bei ya chini ila itakauokupa faida? Kiufupi biashara zinazolipa uswazi ziko nyingi sana kuna jamaa anauza pilau nyama anafunga kama wauza chipsi kwanini nawewe usitafute kituo cha maboda boda au kwenye mikusanyiko au kijiwe ukaweka mtu apike na auze huku wewe umefulia pembeni unacheza draft na wana tena hiyo biashara haihitaji hata fremu ni wewe na mstofali matatu mkaa sufulia plus vifungashio,

Mfano biashara nayofanya mimi nilipoenda kutafuta fremu kwa fu 30 mwenye nyumba aliniwahi kunipa mkataba na akaniambia nilipe haraka kumbe uwani mvua ikinyesha maji yanatuama yanavuja chini kwa chini yanajaa ndani kwenye fremu
Mkuu Mimi nimehitimisha hvi ,sio kila mtu anaweza fanya biashara uswahilini , uswahilini kuna Aina yake ya watu na kuna aina yake ya biashara na mahitaji pia ,na kwenye frem kuna Aina yake ya watu na Aina ya bidhaa... ni kama upiga debe na ukondakta au uchungaji na mashehe sio kila mtu anaweza mkuu kila mmoja na sehemu yake , nimefanya Sana biashara uswahilini boss in short palinishinda kama wewe kulivyokushinda kwenye frem huko .....
Mimi uswahilini siwez boss, kila lakheli mkuu
 
Mkuu Mimi nimehitimisha hvi ,sio kila mtu anaweza fanya biashara uswahilini , uswahilini kuna Aina yake ya watu na kuna aina yake ya biashara na mahitaji pia ,na kwenye frem kuna Aina yake ya watu na Aina ya bidhaa... ni kama upiga debe na ukondakta au uchungaji na mashehe sio kila mtu anaweza mkuu kila mmoja na sehemu yake , nimefanya Sana biashara uswahilini boss in short palinishinda kama wewe kulivyokushinda kwenye frem huko .....
Mimi uswahilini siwez boss, kila lakheli mkuu
Sasa mimi nilichokifanya nilimuambia mwenye nyumba apunguze kodi then nikafuata fundi karekebisha life kinaendelea wateja wanakuja huduma kinaendelea.

Ungekuwa wewe ungekimbia au kufunga biashara kabisaa
 
Back
Top Bottom