GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,068
- 107,558
Kuna Watu niliambiwa kuwa wakilitaka lao wanajua kulipata kwa 'Kuroga' vibaya tena kwa 'Kufuru' kabisa nikawa siamini, ila kwa nilichokiona na Kukisikia kuna Mtu aliwacheka Watu Kidharau akiwa ' Benchini ' huenda Kesho akanuna na hata Kulia hadi Kuzimia na hata Kufa pia.
Wewe zitengwe Milioni 30 za Kukusanya Waganga wakubwa nchini na Kumpandisha Mbung'o (Ndege) Mganga mkubwa wa TP Mazembe anayezijulia vyema Timu za Afrika Kusini na 'anayeogopwa' nao sana halafu utoke kwa Mkapa?
Ngoja nianze Kujiandaa ili Jioni leo 'nikakeshe' zangu Temeke kwa Mkapa kwani nimeambiwa kunaenda Kufanyika Jambo ambalo Mwenyezi Mungu atusamehe tu kwakuwa ni ' Kufuru ' Kubwa ili baada ya Kufuzu tutaenda Kumpigia Magoti ya Kumuomba Msamaha Makanisani na Misikitini.
Kiuchawi Wajukuu wa Hayati Nyerere tumeshapita, ila Kiufundi mwisho wetu umeishia rasmi Afrika Kusini Wiki Moja iliyopita na Wajukuu wa Hayati Mandela wamefuzu.
Halafu Wewe Mlinzi Mmoja wa hapo kwa Mkapa Uwanjani mwenye Jina linaloanzia na Herufi ' S ' mwenye Mahaba na Timu Adui kwa ichezayo Kesho acha huo ' Unoko ' na tulia Watu wafanye yao kwani Mafanikio ya Kesho si tu Klabu hiyo bali ni ya Tanzania na Watanzania. Endelea kujifanya Mfanyakazi bora hapo Uwanjani ' Wakuue ' kabisa kwa ' Majini ' yanayoenda Kutupwa hapo kuanzia Saa 12 Jioni ya leo.
Raha ya Kesho ni 'Vimbwanga' vya Nje.
Wewe zitengwe Milioni 30 za Kukusanya Waganga wakubwa nchini na Kumpandisha Mbung'o (Ndege) Mganga mkubwa wa TP Mazembe anayezijulia vyema Timu za Afrika Kusini na 'anayeogopwa' nao sana halafu utoke kwa Mkapa?
Ngoja nianze Kujiandaa ili Jioni leo 'nikakeshe' zangu Temeke kwa Mkapa kwani nimeambiwa kunaenda Kufanyika Jambo ambalo Mwenyezi Mungu atusamehe tu kwakuwa ni ' Kufuru ' Kubwa ili baada ya Kufuzu tutaenda Kumpigia Magoti ya Kumuomba Msamaha Makanisani na Misikitini.
Kiuchawi Wajukuu wa Hayati Nyerere tumeshapita, ila Kiufundi mwisho wetu umeishia rasmi Afrika Kusini Wiki Moja iliyopita na Wajukuu wa Hayati Mandela wamefuzu.
Halafu Wewe Mlinzi Mmoja wa hapo kwa Mkapa Uwanjani mwenye Jina linaloanzia na Herufi ' S ' mwenye Mahaba na Timu Adui kwa ichezayo Kesho acha huo ' Unoko ' na tulia Watu wafanye yao kwani Mafanikio ya Kesho si tu Klabu hiyo bali ni ya Tanzania na Watanzania. Endelea kujifanya Mfanyakazi bora hapo Uwanjani ' Wakuue ' kabisa kwa ' Majini ' yanayoenda Kutupwa hapo kuanzia Saa 12 Jioni ya leo.
Raha ya Kesho ni 'Vimbwanga' vya Nje.