Hakuna mtu ataelewa hii ila ndo ukwelChuo Kikuu cha ' Geniuses ' tupu nchini.
Ila uchawi huu wa mikia FC ni too muchIla Mkuu hata Wao walituroga pia Kwao.
Nimeambiwa mpaka hivi sasa ( Saa 4 hii ya Usiku huu ) kuna Goli 3 ziko tayari ila ili Goli la 4 na mpaka la 5 lipatikane basi kati ya Mwekezaji Mo Dewji, CEO Barbara Gonzalez na Msemaji Haji Manara Mmoja aamue Kufa ( Kufariki ) na hakuna aliyekubali kwa kusema kuwa hata Wao pia Maisha wanayapenda vile vile.Kaka sikupingi! Mpaka sasa simba wanaongoza goli 2 half time..kuna beki wa kaizer atajifunga,kuna penati ya miquiosone ataangushwa..na goli la dakika za nyongeza..pia kuna red card imeonekana! Watu wako kazini...
Wafanye vyovyote cha muhimu tushinde hata wakikusanya Waganga wote Afrika hakuna neno kikubwa tupite.
Nimeambiwa mpaka hivi sasa ( Saa 4 hii ya Usiku huu ) kuna Goli 3 ziko tayari ila ili Goli la 4 na mpaka la 5 lipatikane basi kati ya Mwekezaji Mo Dewji, CEO Barbara Gonzalez na Msemaji Haji Manara Mmoja aamue Kufa ( Kufariki ) na hakuna aliyekubali kwa kusema kuwa hata Wao pia Maisha wanayapenda vile vile.
Aisee wewe jamaa punguza uongoNimeambiwa mpaka hivi sasa ( Saa 4 hii ya Usiku huu ) kuna Goli 3 ziko tayari ila ili Goli la 4 na mpaka la 5 lipatikane basi kati ya Mwekezaji Mo Dewji, CEO Barbara Gonzalez na Msemaji Haji Manara Mmoja aamue Kufa ( Kufariki ) na hakuna aliyekubali kwa kusema kuwa hata Wao pia Maisha wanayapenda vile vile.
utawanunulia nini? mbona humaliziiSIMBA KESHO AKISHINDA NA KUFUZU NITAWEKA HAPA REAL NAME, VYETI VYANGU, KITAMBULISHO CHA KAZI, MAHALI NINAPOISHI, NITATOA MSHAHARA WANGU WA MWEZI HUU NA KUWANUNULIA TIMU YA SIMBA KWA WIKI NZIMA.
MATOKEO RASMI YA GAME YA KESHO
SIMBA 2 - 3 KAIZER CHIEFS
Kwa nilivyoiangalia hii mechi kwa jicho la kiufundi (maana uchawi haupo ktk soka)
SIMBA ITAANZA KWA MPIRA WA KASI SANA DK 10 ZA MWANZO NA NDANI YA DK HZO kutokana na presha yao KAIZER CHIEFS WATAPATA BAO LA KUONGOZA hali itakayopelekea Simba kuchanganyikiwa na kupigwa la pili dk chache mbele. Lkn matokeo ya mwisho simba atafungwa 3 - 2
Huyo ndo Antibayotike kiboko ya vijidudu hhaahahaaa muongo hadi sio poaAisee wewe jamaa punguza uongo
Yaani hadi nimecheka kwa sauti
Mtu akishamsikiliza Manara akasoma hapa hawezi kukuelewa bro🤣🤣🤣🤣Mazembe kafa home and away agaist Mamelody, if you know what I mean.....hakuna cha tunguli wala hirizi, ukiwa dhaifu na kufanya makosa unapigwa tu.
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mashabiki wa Simba SC ndiyo wanataka ' Propaganda ' ya aina hii ( hiyo ) Mkuu na ukiwaambia Ukweli na Uhalisia kuwa Simba SC ' Kiufundi ' haiwezi ' Kupindua ' matokeo hawataki Kukubali hivyo nami kwa ' Kuwasanifu ' nawapeleka hivyo hivyo wanavyotaka Wao na kweli wengi wao hapa wamejaa ' upepo ' kwa Kuamini ( Kuniamini ) mno huku Mimi nikiwacheka tu na Kuwadharau vile vile.Aisee wewe jamaa punguza uongo
Yaani hadi nimecheka kwa sauti