king otaligamba
JF-Expert Member
- Oct 24, 2016
- 2,177
- 2,031
Simba atapigwa na kitu kizito kichwani
Sawa bhana haya wape na hiyoMashabiki wa Simba SC ndiyo wanataka ' Propaganda ' ya aina hii ( hiyo ) Mkuu na ukiwaambia Ukweli na Uhalisia kuwa Simba SC ' Kiufundi ' haiwezi ' Kupindua ' matokeo hawataki Kukubali hivyo nami kwa ' Kuwasanifu ' nawapeleka hivyo hivyo wanavyotaka Wao na kweli wengi wao hapa wamejaa ' upepo ' kwa Kuamini ( Kuniamini ) mno huku Mimi nikiwacheka tu na Kuwadharau vile vile.
Mkuu nimecheka hadi ' Njaa ' imenitoka.Sawa bhana haya wape na hiyoView attachment 1793587
He!. Makubwa haya. Haji si tayari ameshampoteza Bibi yake jana, inatosha- Goli la nne hilo. Tuishie hapo ili twende kwenye penartNimeambiwa mpaka hivi sasa ( Saa 4 hii ya Usiku huu ) kuna Goli 3 ziko tayari ila ili Goli la 4 na mpaka la 5 lipatikane basi kati ya Mwekezaji Mo Dewji, CEO Barbara Gonzalez na Msemaji Haji Manara Mmoja aamue Kufa ( Kufariki ) na hakuna aliyekubali kwa kusema kuwa hata Wao pia Maisha wanayapenda vile vile.
Wapi Shomari Kapombe?Sawa bhana haya wape na hiyoView attachment 1793587
Bibi yake Minara tayariInnallilah wainaallilaha rajoun (In Advance)
Ebu tuache kwanza sisi tutafute ushindiWapi Shomari Kapombe?
Tunafurahishana tu mkuu, Hizi ndio burudani unazoweza kuzipata Tanzania tu. Ndio maana kuna watu huwa wanazimia au kufa kwa presha maana vifua vyetu vinajazwa sana hizi imani, ukija uwanjani ngoma inakuwa tofauti.Wapi Shomari Kapombe?
Dah, kweli kaka! Nimejiskia sana! Yaani Bibi yake kamtoa kafara ili timu ipate matokeo!Bibi yake Minara tayari
Eti Goli la Nne hilo...Nimecheka mno tu.He!. Makubwa haya. Haji si tayari ameshampoteza Bibi yake jana, inatosha- Goli la nne hilo. Tuishie hapo ili twende kwenye penart
Kiongozi umeamua kuwa realistic kabisaTuache kudsnganyana zile goli ni nyingi kuzirudisha ni kimbembe
Hiyo mizimu ya Congo Ingemchagua Mo au Badra au Haji halafu timu itaenda kutolewa nusu fainali nayo si ingekuwa hasara juu ya hasara?Dah, kweli kaka! Nimejiskia sana! Yaani Bibi yake kamtoa kafara ili timu ipate matokeo!
Si mlikuwa mnanikatalia na Kushangaa?GENTAMYCINE mpira wa Africa ni uchawi na fitna
Nipo Mtani naona umebbumma eti. 😂🤣🤣🤣@Shadeeya upo mtani