Kwa tulioshuudia jana ikulu, mh Lowassa ameshastaafu siasa

Ngamanya Kitangalala

JF-Expert Member
Sep 24, 2012
501
1,214
Kwanza nianze kwa kutoa pongezi zangu za dhati kwa mh Rais John Pombe Magufuli na Mh waziri mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa, kwa kukutana kwao hapo jana

Ni ukweli usiopingika, moja ya chaguzi za vyama vingi, zilizowahi kuwa na ushindani wa karibu, ni ule wa mwaka 1995 kati ya mh Mkapa na Mh Mrema na huu wa 2015 kati ya mh Rais Magufuli na mh Lowassa

Kitendo cha waheshimiwa hawa kukutana jana ni cha kupongezwa sana, kwani kimetupa funzo kubwa,
kuwa siasa si uadui, siasa si chuki bali siasa ni kutofautiana mawazo tu, juu ya namna gani bora, ya kuwaletea maendeleo wananchi

Kwa waluomsikiliza jana mh Rais, alipokuwa akiongea na waandishi wa habari, baada ya kumaliza mazungumzo ya faragha na mh Lowassa, alinuita mh Lowassa "Mzee Lowassa" Binafsi kwa jinsi ambavyo nimekuwa nikimfuatilia mh Rais kwenye mikutano mbalimbali, amekuwa akitumia neno "mzee" kwa wanasiasa waliostaafu ama wanaotarajiwa kustaafu kwa siku za karibuni

Binafsi, naamini moja ya mambo mh Lowassa aliyomwambia mh Rais kwenye mkutano wao wa faragha, ni kwa yeye kustaafu siasa ndani ya muda mfupi ujao
 
Kwanza nianze kwa kutoa pongezi zangu za dhati kwa mh Rais John Pombe Magufuli na Mh waziri mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa, kwa kukutana kwao hapo jana

Ni ukweli usiopingika, moja ya chaguzi za vyama vingi, zilizowahi kuwa na ushindani wa karibu, ni ule wa mwaka 1995 kati ya mh Mkapa na Mh Mrema na huu wa 2015 kati ya mh Rais Magufuli na mh Lowassa

Kitendo cha waheshimiwa hawa kukutana jana ni cha kupongezwa sana, kwani kimetupa funzo kubwa,
kuwa siasa si uadui, siasa si chuki bali siasa ni kutofautiana mawazo tu, juu ya namna gani bora, ya kuwaletea maendeleo wananchi

Kwa waluomsikiliza jana mh Rais, alipokuwa akiongea na waandishi wa habari, baada ya kumaliza mazungumzo ya faragha na mh Lowassa, alinuita mh Lowassa "Mzee Lowassa" Binafsi kwa jinsi ambavyo nimekuwa nikimfuatilia mh Rais kwenye mikutano mbalimbali, amekuwa akitumia neno "mzee" kwa wanasiasa waliostaafu ama wanaotarajiwa kustaafu kwa siku za karibuni

Binafsi, naamini moja ya mambo mh Lowassa aliyomwambia mh Rais kwenye mkutano wao wa faragha, ni kwa yeye kustaafu siasa ndani ya muda mfupi ujao
Hiyo yaweza kuwa kweli
 
Mcheza kamali huwa hakubali kushindwa hadi amelize pesa zake zote na yupo tayari kukopa au kuweka rehani asset zake.
Lowassa alikuwa kama mcheza kamali alishindwa huku akakimbilia kule tena kwa gharama kubwa bila mafanikio.
Sasa yuko tayari kutoka mchezoni mikono mitupu na wakati ameshaliwa mzigo mrefu?
 
Kwanza nianze kwa kutoa pongezi zangu za dhati kwa mh Rais John Pombe Magufuli na Mh waziri mkuu mstaafu Edward Ngoyai Lowassa, kwa kukutana kwao hapo jana

Ni ukweli usiopingika, moja ya chaguzi za vyama vingi, zilizowahi kuwa na ushindani wa karibu, ni ule wa mwaka 1995 kati ya mh Mkapa na Mh Mrema na huu wa 2015 kati ya mh Rais Magufuli na mh Lowassa

Kitendo cha waheshimiwa hawa kukutana jana ni cha kupongezwa sana, kwani kimetupa funzo kubwa,
kuwa siasa si uadui, siasa si chuki bali siasa ni kutofautiana mawazo tu, juu ya namna gani bora, ya kuwaletea maendeleo wananchi

Kwa waluomsikiliza jana mh Rais, alipokuwa akiongea na waandishi wa habari, baada ya kumaliza mazungumzo ya faragha na mh Lowassa, alinuita mh Lowassa "Mzee Lowassa" Binafsi kwa jinsi ambavyo nimekuwa nikimfuatilia mh Rais kwenye mikutano mbalimbali, amekuwa akitumia neno "mzee" kwa wanasiasa waliostaafu ama wanaotarajiwa kustaafu kwa siku za karibuni

Binafsi, naamini moja ya mambo mh Lowassa aliyomwambia mh Rais kwenye mkutano wao wa faragha, ni kwa yeye kustaafu siasa ndani ya muda mfupi ujao
Kama mnakumbuka katika hotuba zake JPM alisema kuhusu Masheikh walowekwa ndani na kuwahusiha na watu walokufa Kibiti na aksema huyo anaowatetea yupo pamaja nawo Polisi fanyeni kazi zenu.
wakati ule lowassa ndiye alikua akiwatetea ili watolewe.

Leo kabadilika kama sie.
Siasa
 
Back
Top Bottom