The MaskmaN
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 350
- 754
- Thread starter
- #61
Ni kweli mkuu,Huyo msamehe ila asilete mazoea kwenye hela...
Kuna mzee mmoja alimuomba mwanae msamaha alafu baada ya siku 2 akaanza kupiga mizinga , kuna wazazi wanajirudi kwasababu tu una unafuu wa maisha, ungekuwa bado umechoka hata usingemuona.
Mimi mtu ambaye hakuwa na mm wakati wa dhiki siwezi kuwa naye karibu abadani,maana najua yupo kimaslahi tu..
Kilio changu kikubwa kwa sasa ni kujua hatima na Baba yangu kipenzi.
Maana sielewi kama yupo hai ama la!