Tripper
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 722
- 1,294
Watu mnajua kufukunyua MamboMtoa mada hapo hatujakuelewa tudadavulie na hapa inakuaje na wakati unasema hujalelewa na mamaako
View attachment 2209575Mke wangu ni mchawi ama mama ndio mchawi?
Habari wana JF Mimi ndugu yenu nina makubwa ambayo yamenifika na sijui nitayatatua vipi? Nina mke wangu nilimuoa mwaka 2015, baada ya kuishi nae miaka kama 7 sasa kuna siku juzi nipo kazini nikapokea simu kutoka kwa mdada wa kazi pale nyumbani akinitaka nirudi haraka nyumbani, bila kusita...www.jamiiforums.com