navy boi
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 1,517
- 480
Hiyo ya kushindwa kuongea na kufafanua sera ndo imeshusha kiwanga cha Lowasa, huwezi kutaka urais wakati kifafanua sera huwezi, ss anasema elimu bure lakini hafafanui pesa atatoa wapi, alafu mburula wachache wanamlinganisha na Obama, acheni ujinga huo, tena Lowasa ni nafuu mungemchukua Kingunge au Sumaye, nyie mliangalia pesa kwanza na si uwezo wake, hamkujua nn kilifanya ccm imteme, nyie mkamchukua, ss ndo mnaona ccm hawakufanya kosa kumtosa, ccm ingepata kazi kubwa sana kumnadi, hata chadema pia wamechoka kumnadi.
Hata kujienyea kumeshusha hadhi yake pia