Kulingana na hali halisi iliyotokea katika mashindano haya ya CECAFA yanayoendelea, ninawashauri TFF na wapenda michezo wote wa Tanzania, tujitoe CECAFA na kujiunga COSAFA, sababu mnazifahamu nanyi pia, ila kikubwa katika hali halisi mnayoiona hakika hakutatokea hata siku moja mpira ukandelea kukua katika ukanda huu wa Afrika Mashariki, perhaps miujiza itokee. Tutaendea kuwa chini katika ubora mpira wa miguu duniani. Hakika nawaambieni!!!!