Alama tatu za Mnafiki:
(1) Akizungumza husema uongo
ref: Alisema hatochagua upinzani sasa amechagua... Huu ni Uongo.
(2) Akiahidi hatimizi
ref; Aliahidi milioni 50 kila kijiji, kusitisha ajira kwa mwezi mmoja n k Yote hakutekeleza.
(3) Akiaminiwa hufanya khiyana.
ref. Kauli yake kuhusu michango ya maafa kule Kagera.