Tatizo mnaomtaka mkiulizwa hadharani mnaona aibuUsije ukadhani eti wewe humtaki Magu na wengine hawamtaki! la hasha! Basi jua kuwa wengi wanamkubali kisiri moyo sana, ila hawataki siasa. Wanaona wanapoteza muda wao kwa vitu visivyo vya msingi.
Hutaweza kuelewa chochote, maana huu si "UDHI". Kilangila.Sijaelewa kitu kwenye huu udhi
Mbona Mimi msukuma hapa na sijachokozeka?!Umechokoza wasukuma
Ujima huu. Kama hutaki wewe Hama mitandaoni. Kasome uhuru, habari Leo, mzalendo. Tuache kizazi kipya tufaidiMagufuli yuko sahihi 95 % hii mitandao inaboa sasa bora ifungwe magufuguli ni binadamu hana utashi wake katika kuongoza tatizo mnaangalia sana tamaa zenu binafsi ndo maana mnamuona hafai na wakati mwingine lazima mfahamu kuna mambo yanaitaji faida kwa taifa hats kama linaumiza maslahi ya mtu mmoja
By josaya