Usije shangaa IGP mpya akaamuru 'udakwe' kwa tuhuma za kumuombea mabaya Mkulu.......Huyu ni kumuombea kinyume..mfani Mungu mpe Rais afya njema unasema kinyume chake
Ulitegemea aajiri wote vyuo vikuu vyetu vinalisha maelfu ya wahitimu kila mwaka uwezo wa kuajiri wote haupo,jiajiri kijana wee tembea na bahasha ya kaki kila siku posta utazeekakwel mkuu watoto maskn wamejtaid kusoma kwa bidii had chuo kikuu leo kawatupa,
Umechelewa, tayari kaishaombewa na Cardinal Pengo, Mufti, Askofu mkuu Malasusa, Mzee wa Upako, kiongozi mkuu wa Bohora na wakuu wengine wa dini lukuki hivyo dua zenu zinazoambatana na chuki binafsi huko Makongorosi kwa sasa hazina ulazima sana maana hata wahenga walisema Dau la mnyonge haliendi joshi.Eti anataka ushirikiano
Mara anataka aombewe
Hatutatoa ushirikiano kwa mtu ambaye anafanya mambo ya ajabu kiasi hiki.
Watoto wa masikini walosoma kwa mikopo na degree zao masikini ya mungu wanazurura mitaani hakuna.ajira wataishije? halafu hapo wanawindwa na bodi ya mikopo
Huku yeye huyo mtaka kuombewa kila siku panga pangua tu teuzi zimejaa marafiki, majamaa, ndugu na washirika watoto Wa masikini na watanzania Washasahauliwa
Ni dhambi kuendesha nchi kama unaendesha family yako
Wale wachapa kazi ulokua unasema na kuwasifia wakati wa kampeni wameishia wapi? maana naona unateua wanakupigia debe na marafiki tu
It is very shame kuendesha nchi katika misingi hii ya ajabu hivi
Hatukuombei, wala kukupa ushirikiano jiombee mwenyewe
Mada uliyoleta ni ya kijinga na kipuuzi sana!Na wewe uliyesoma una uwezo mdogo sana wa kuelewa
Eti anataka ushirikiano
Mara anataka aombewe
Hatutatoa ushirikiano kwa mtu ambaye anafanya mambo ya ajabu kiasi hiki.
Watoto wa masikini walosoma kwa mikopo na degree zao masikini ya mungu wanazurura mitaani hakuna.ajira wataishije? halafu hapo wanawindwa na bodi ya mikopo
Huku yeye huyo mtaka kuombewa kila siku panga pangua tu teuzi zimejaa marafiki, majamaa, ndugu na washirika watoto Wa masikini na watanzania Washasahauliwa
Ni dhambi kuendesha nchi kama unaendesha family yako
Wale wachapa kazi ulokua unasema na kuwasifia wakati wa kampeni wameishia wapi? maana naona unateua wanakupigia debe na marafiki tu
It is very shame kuendesha nchi katika misingi hii ya ajabu hivi
Hatukuombei, wala kukupa ushirikiano jiombee mwenyewe
Tumia neno Sita badala ya hatuta maana mimi nita!!!!!!Eti anataka ushirikiano
Mara anataka aombewe
Hatutatoa ushirikiano kwa mtu ambaye anafanya mambo ya ajabu kiasi hiki.
Watoto wa masikini walosoma kwa mikopo na degree zao masikini ya mungu wanazurura mitaani hakuna.ajira wataishije? halafu hapo wanawindwa na bodi ya mikopo
Huku yeye huyo mtaka kuombewa kila siku panga pangua tu teuzi zimejaa marafiki, majamaa, ndugu na washirika watoto Wa masikini na watanzania Washasahauliwa
Ni dhambi kuendesha nchi kama unaendesha family yako
Wale wachapa kazi ulokua unasema na kuwasifia wakati wa kampeni wameishia wapi? maana naona unateua wanakupigia debe na marafiki tu
It is very shame kuendesha nchi katika misingi hii ya ajabu hivi
Hatukuombei, wala kukupa ushirikiano jiombee mwenyewe
Wakati mwingine chuki inakuweka mbali na matumizi sahihi ya fahamu zako.....kiasi kwamba unapoteza udhibiti wa matendo yako.....
Eti anataka ushirikiano
Mara anataka aombewe
Hatutatoa ushirikiano kwa mtu ambaye anafanya mambo ya ajabu kiasi hiki.
Watoto wa masikini walosoma kwa mikopo na degree zao masikini ya mungu wanazurura mitaani hakuna.ajira wataishije? halafu hapo wanawindwa na bodi ya mikopo
Huku yeye huyo mtaka kuombewa kila siku panga pangua tu teuzi zimejaa marafiki, majamaa, ndugu na washirika watoto Wa masikini na watanzania Washasahauliwa
Ni dhambi kuendesha nchi kama unaendesha family yako
Wale wachapa kazi ulokua unasema na kuwasifia wakati wa kampeni wameishia wapi? maana naona unateua wanakupigia debe na marafiki tu
It is very shame kuendesha nchi katika misingi hii ya ajabu hivi
Hatukuombei, wala kukupa ushirikiano jiombee mwenyewe
Eti anataka ushirikiano
Mara anataka aombewe
Hatutatoa ushirikiano kwa mtu ambaye anafanya mambo ya ajabu kiasi hiki.
Watoto wa masikini walosoma kwa mikopo na degree zao masikini ya mungu wanazurura mitaani hakuna.ajira wataishije? halafu hapo wanawindwa na bodi ya mikopo
Huku yeye huyo mtaka kuombewa kila siku panga pangua tu teuzi zimejaa marafiki, majamaa, ndugu na washirika watoto Wa masikini na watanzania Washasahauliwa
Ni dhambi kuendesha nchi kama unaendesha family yako
Wale wachapa kazi ulokua unasema na kuwasifia wakati wa kampeni wameishia wapi? maana naona unateua wanakupigia debe na marafiki tu
It is very shame kuendesha nchi katika misingi hii ya ajabu hivi
Hatukuombei, wala kukupa ushirikiano jiombee mwenyewe
Eti anataka ushirikiano
Mara anataka aombewe
Hatutatoa ushirikiano kwa mtu ambaye anafanya mambo ya ajabu kiasi hiki.
Watoto wa masikini walosoma kwa mikopo na degree zao masikini ya mungu wanazurura mitaani hakuna.ajira wataishije? halafu hapo wanawindwa na bodi ya mikopo
Huku yeye huyo mtaka kuombewa kila siku panga pangua tu teuzi zimejaa marafiki, majamaa, ndugu na washirika watoto Wa masikini na watanzania Washasahauliwa
Ni dhambi kuendesha nchi kama unaendesha family yako
Wale wachapa kazi ulokua unasema na kuwasifia wakati wa kampeni wameishia wapi? maana naona unateua wanakupigia debe na marafiki tu
It is very shame kuendesha nchi katika misingi hii ya ajabu hivi
Hatukuombei, wala kukupa ushirikiano jiombee mwenyewe