Kwa teuzi hizi hatukupi ushirikiano ng'o na usahau kuombewa, tushakuchoka!

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,990
17,877
Eti anataka ushirikiano
Mara anataka aombewe
Hatutatoa ushirikiano kwa mtu ambaye anafanya mambo ya ajabu kiasi hiki.
Watoto wa masikini walosoma kwa mikopo na degree zao masikini ya mungu wanazurura mitaani hakuna.ajira wataishije? halafu hapo wanawindwa na bodi ya mikopo
Huku yeye huyo mtaka kuombewa kila siku panga pangua tu teuzi zimejaa marafiki, majamaa, ndugu na washirika watoto Wa masikini na watanzania Washasahauliwa
Ni dhambi kuendesha nchi kama unaendesha family yako
Wale wachapa kazi ulokua unasema na kuwasifia wakati wa kampeni wameishia wapi? maana naona unateua wanakupigia debe na marafiki tu
It is very shame kuendesha nchi katika misingi hii ya ajabu hivi
Hatukuombei, wala kukupa ushirikiano jiombee mwenyewe
 
Eti anataka ushirikiano
Mara anataka aombewe
Hatutatoa ushirikiano kwa mtu ambaye anafanya mambo ya ajabu kiasi hiki.
Watoto wa masikini walosoma kwa mikopo na degree zao masikini ya mungu wanazurura mitaani hakuna.ajira wataishije? halafu hapo wanawindwa na bodi ya mikopo
Huku yeye huyo mtaka kuombewa kila siku panga pangua tu teuzi zimejaa marafiki, majamaa, ndugu na washirika watoto Wa masikini na watanzania Washasahauliwa
Ni dhambi kuendesha nchi kama unaendesha family yako
Wale wachapa kazi ulokua unasema na kuwasifia wakati wa kampeni wameishia wapi? maana naona unateua wanakupigia debe na marafiki tu
It is very shame kuendesha nchi katika misingi hii ya ajabu hivi
Hatukuombei, wala kukupa ushirikiano jiombee mwenyewe
Kwan kakulazimisha umuombee
 
Eti anataka ushirikiano
Mara anataka aombewe
Hatutatoa ushirikiano kwa mtu ambaye anafanya mambo ya ajabu kiasi hiki.
Watoto wa masikini walosoma kwa mikopo na degree zao masikini ya mungu wanazurura mitaani hakuna.ajira wataishije? halafu hapo wanawindwa na bodi ya mikopo
Huku yeye huyo mtaka kuombewa kila siku panga pangua tu teuzi zimejaa marafiki, majamaa, ndugu na washirika watoto Wa masikini na watanzania Washasahauliwa
Ni dhambi kuendesha nchi kama unaendesha family yako
Wale wachapa kazi ulokua unasema na kuwasifia wakati wa kampeni wameishia wapi? maana naona unateua wanakupigia debe na marafiki tu
It is very shame kuendesha nchi katika misingi hii ya ajabu hivi
Hatukuombei, wala kukupa ushirikiano jiombee mwenyewe
We chizi kweli
 
Eti anataka ushirikiano
Mara anataka aombewe
Hatutatoa ushirikiano kwa mtu ambaye anafanya mambo ya ajabu kiasi hiki.
Watoto wa masikini walosoma kwa mikopo na degree zao masikini ya mungu wanazurura mitaani hakuna.ajira wataishije? halafu hapo wanawindwa na bodi ya mikopo
Huku yeye huyo mtaka kuombewa kila siku panga pangua tu teuzi zimejaa marafiki, majamaa, ndugu na washirika watoto Wa masikini na watanzania Washasahauliwa
Ni dhambi kuendesha nchi kama unaendesha family yako
Wale wachapa kazi ulokua unasema na kuwasifia wakati wa kampeni wameishia wapi? maana naona unateua wanakupigia debe na marafiki tu
It is very shame kuendesha nchi katika misingi hii ya ajabu hivi
Hatukuombei, wala kukupa ushirikiano jiombee mwenyewe
Usije ukadhani eti wewe humtaki Magu na wengine hawamtaki! la hasha! Basi jua kuwa wengi wanamkubali kisiri moyo sana, ila hawataki siasa. Wanaona wanapoteza muda wao kwa vitu visivyo vya msingi.
 
Back
Top Bottom