Kwa teuzi hii tutegemee mabadiliko katika baraza la Mawaziri, Je wakina nani watakuwa ingizo jipya na wakina nani watatolewa?

Hatujawahi kuwa na waziri wa fedha mwanamke..may be this time
Ila Madelu wakimpeleka Ulinzi ujue watakuwa kweli wanamtayarisha kwa 2025! Kwa tunavyomjua yule atatumia fursa hiyo kujitengeneza ndani ya vyombo vilivyochini ya Wizara

Kama 2015 mawe aliyoyachora yaliishia njia ya kwenda Singida na Tabora basi akiwa Ulinzi yatenea nchi nzima, na hata vifaru vitatumika kwa kampeni yake ya wazi na hata chinichini

Hatuna shida na yeye kuuta u presidaa maana kama walivyowengine na Madelu naye anahaki hiyo. Tatizo ni kwamba he is just another Kayafa tena he is even worse.
 
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 10/09/2021 amemteua Dkt. Stergomena Lawrence Tax kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania katika nafasi kumi za kuteuliwa na Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania.

Kabla ya uteuzi huo Dkt. Stergomena Lawrence Tax, alikuwa Katibu mtendaji wa Jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa jangwa la afrika (SADC), ambaye amemaliza muda wake mwezi Agosti mwaka huu.

Mbunge huyo ataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Tuwe wavumilivu, mabadilko yanakuja hivi karibuni katika baraza la mawaziri.

View attachment 1931809

Dah!! Kusini mwa jangwa la Afrika. Tozo ziendelee
 
Ila Madelu wakimpeleka Ulinzi ujue watakuwa kweli wanamtayarisha kwa 2025! Kwa tunavyomjua yule atatumia fursa hiyo kujitengeneza ndani ya vyombo vilivyochini ya Wizara

Kama 2015 mawe aliyoyachora yaliishia njia ya kwenda Singida na Tabora basi akiwa Ulinzi yatenea nchi nzima, na hata vifaru vitatumika kwa kampeni yake ya wazi na hata chinichini

Hatuna shida na yeye kuuta u presidaa maana kama walivyowengine na Madelu naye anahaki hiyo. Tatizo ni kwamba he is just another Kayafa tena he is even worse.
Na tayari saivi ana cash ya tozo huko ni kwenda tu kukamilisha mipango
 
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 10/09/2021 amemteua Dkt. Stergomena Lawrence Tax kuwa mbunge wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania katika nafasi kumi za kuteuliwa na Rais wa Jamhuri wa muungano wa Tanzania.

Kabla ya uteuzi huo Dkt. Stergomena Lawrence Tax, alikuwa Katibu mtendaji wa Jumuiya ya maendeleo ya nchi za kusini mwa jangwa la afrika (SADC), ambaye amemaliza muda wake mwezi Agosti mwaka huu.

Mbunge huyo ataapishwa kwa mujibu wa sheria na taratibu za bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania.

Tuwe wavumilivu, mabadilko yanakuja hivi karibuni katika baraza la mawaziri.

View attachment 1931809
Kweli aliye nacho huongezewa walisema wahenga!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom