chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,959
- 20,530
Hawa ni rahisi sana kutumika na mamlaka za nchi wanakoishi.
Diaspora wanaomba wawe na uraia wa nchi mbili, yaani wawe marekani na ulaya, sijui Asia na pia wawe watanzania, wale huku na kule. Tabia ya ulafi.
Juzi wamejionyesha wako upande gani, wako upande wa maadui wa taifa, mabeberu
Diaspora wanaomba wawe na uraia wa nchi mbili, yaani wawe marekani na ulaya, sijui Asia na pia wawe watanzania, wale huku na kule. Tabia ya ulafi.
Juzi wamejionyesha wako upande gani, wako upande wa maadui wa taifa, mabeberu