Kwa tabia hizi za Trump, Kama siyo strong administrative institutions, USA ingelikuwa kwenye kundi la nchi zinazotawaliwa na madikiteita

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,373
73,975
Dunia inajifunza nini Kwa haya yanayoendelea USA? Kama siyo mihimili au vyombo vya utawala vilivyo huru, huru ya kweli, Marekani ilikuwa inatumbukia kwenye udikiteita kama Tanzania, urusi, china, Rwanda, Uganda, Burundi etc.

Tabia alizozionyesha Trump na kesi 38 alizofungua kulalamika kura, na zote akashindwa, kama Mahakama zisingelikuwa huru, kama za hapa ambazo zinazoamrishwa na watawala, basi Trump angelikuwa anasubiri kuapishwa kipindi cha pili.

Africa, in particular, tujenge strong institutions na template tunayo kutoka USA.
 
Yani wewe ni kajinga sana!

Umeshindwa udikteta unaoendelea hapo chadema alafu unafuafilia ya USA?

Kwanza umeshamalizana na dada zako kina Mdee?
 
hata hvyo trump ameshafanya damage kubwa sana pia kaongeza sana division marekani, ameongeza kasi ya kuporomoka kwa marekani
 
Strong instution ndio everthing. Ni check and balance kwenye utawala. Ndio maana trump ameshindwa kuvuka redline maana institution haiyumbishwi hovyo.
 
Yani wewe ni kajinga sana!

Umeshindwa udikteta unaoendelea hapo chadema alafu unafuafilia ya USA?

Kwanza umeshamalizana na dada zako kina Mdee?
Wewe tuko kwa Trump saivi achana na akina Mdee.
 
Dunia inajifunza nini Kwa haya yanayoendelea USA? Kama siyo mihimili au vyombo vya utawala vilivyo huru, huru ya kweli, Marekani ilikuwabinatumbukia kwenyebudikiteita kama Tanzania, urusi, china, Rwanda, Uganda, Burundi etc. Tabia alizozionyesha Trump na kesi 38 alizofungua kulalamika kura, na zote akashindwa, kama Mahakama zisingelikuwa huru, kama za hapa ambazo zinazoamrishwa na watawala, basi Trump angelikuwa anasubiri kuapishwa kipindi cha pili.
Africa, in particular, tujenge strong institutions na template tunayo kutoka USA.
USA wamepata uhuru 1776; ni zaidi ya miaka 244.

Wakati US ikiwa nchi huru EU walivamia Afrika na kututawala kimabavu kwa miaka zaidi ya 70. Kwa maana hiyo nchi nyingi huru ni kama zinafikisha walau miaka 60; bado umri mdogo ukilinganisha na muda wa kutawaliwa na wakoloni.

Kila nchi ina utamaduni wake na falsafa ya utawala. Pamoja na US kuwa na strong institutions; hazipo kwa maslahi ya Wamerekani wa kawaida. Taasisi zipo kwa maslahi ya "the establishment".

Iwe ni Dems au Republicans, wote wana-share common goal, serving Americans interest ambalo wafaidika ni kundi dogo sana.

Imagine, Trump amekwepa kodi kwa miaka mingi kwa sheria zinazo-favor the establishment (tax avoidance).

Imagine, sheria zao hazina kujali maisha ya watu wa kawaida kupata huduma ya Afya, mpaka Obama akaja na "Obama Care" kama mwarobaini wa kusaidia wenye uwezo mdogo kifedha kufaidika na bima ya Afya. Trump anaepiga bima hii yeye kama Rais kafaidika na matibabu kwa kodi za wamerekani ambao baadhi yao ni masikini na wanalipa kuliko yeye.

Ila Urusi, Eastern Europe ambako ni wazungu, China hata Middle East, it takes strong men to govern the institutions na maisha yanaendelea.

Tuipende nchi yetu, tuijenge Tanzania na kujenga taasisi ambazo zinajali maslahi ya Watanzania kwa muktadha wa maendeleo ya Watanzania.

F
 
Back
Top Bottom