Hapo mkuu sijakupata, umesema unaomba kifurushi cha siku halafu kila siku wanakukata? Nijuavyo mimi ni kuwa kifurushi cha siku ni MB 20 Ambazo unatumia hadi ndani ya siku2 lakini ukimaliza hizo Mb 20 ndani ya siku unakatwa 50/mb hadi pale utaponunua kifurushi kingine.Nakerwa na tabia hii ya kampuni ya tigo. Katika huduma hii ya vifurushi vya tigo internet kuna options kama unataka kwa siku, wiki, mwezi nk. Mimi nilijiunga na kifurushi cha siku. Ajabu kila siku wananikata. Huu ni wizi.
Nilimaanisha ukinunua kifurushi cha tigo internet kwa ajili ya simu. Hapa sizungumzii moderm. Kuna option ya kiwango cha pesa luna 480, 700 etc. Halafu kuna option ya siku. Kuna kwa siku, wiki,mwezi etc. Sasa mimi nilinunua kwa siku hiyo moja tu kifurushi cha 700.Ajabu kila siku nakatwa 700. Simu yangu ilikuwa na 10,000 nimekatwa kila siku 700. Hapo ndipo nlipokereka. Sasa hivi siweki vocha na nikiweka ni jero tu.Hapo mkuu sijakupata, umesema unaomba kifurushi cha siku halafu kila siku wanakukata? Nijuavyo mimi ni kuwa kifurushi cha siku ni MB 20 Ambazo unatumia hadi ndani ya siku2 lakini ukimaliza hizo Mb 20 ndani ya siku unakatwa 50/mb hadi pale utaponunua kifurushi kingine.
.......... nisameheni jamaniiii!!!!!!
Ni mpaka umalize dakika moja ya kwanza au Sekunde 60 ndio ukatwe hiyo nusu Shilingi... aghalabu ili kwenda pema peponi au Mbinguni ni shurti ufe kwanza... sawa kaka Figganigga.cha ajabu wanafanya hivyo bila hata kukutaarifu.hata hiyo kuongea kwa nusu sh kwa sekunde si kweli.
Pole sana mkuu kama hutaki tena hiyo huduma yao hebu jaribu kutuma neno STOP kwenda 15166 unaweza ukafanikiwaNilimaanisha ukinunua kifurushi cha tigo internet kwa ajili ya simu. Hapa sizungumzii moderm. Kuna option ya kiwango cha pesa luna 480, 700 etc. Halafu kuna option ya siku. Kuna kwa siku, wiki,mwezi etc. Sasa mimi nilinunua kwa siku hiyo moja tu kifurushi cha 700.Ajabu kila siku nakatwa 700. Simu yangu ilikuwa na 10,000 nimekatwa kila siku 700. Hapo ndipo nlipokereka. Sasa hivi siweki vocha na nikiweka ni jero tu.
Acheni masihara bila tigo maisha yetu maskini yangekuwaje, hebu fikiria kifurushi cha 450kwnye simu unatumia siku 2. Na kama hutaki kuna option ya kujtoa