babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,098
- 15,990
Russia ni mkoloni wa hiyo nchi siku zote,huelewi nini sasaKiufupi ulichokiandika hata hakieleweki.
Yaani unajikanganya, Mara useme Russia havamii lakini Tena unasema Russia anaenda kuikalia Ukraine. Sasa Bila kuvamia ataikaliaje? Kwanza Ushawishi wa Russia kwa Raia wengi wa Ukraine Ni Mdogo Sana,wanamuona Kama Mkoloni,ndio maana wanataka kujiunga NATO ili kujihakikishia Usalama. Ndio maana hata Urus anaogopa Ukraine isijiunge na NATO make NATO itasomba mamia ya Nuclear Missiles pale KIEV ikawa shida kwa Urus.