Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,206
- 4,697
Wadau wa JF
Inawezekana ulikuwa hujui lakini Makadinali ( Cardinals) kwa mujibu wa Kanisa la Roman Catholic wamepangwa au kugawanywa kwenye madaraja matatu makuu
Daraja la Juu kabisa ( Cardinals Bishop)
Daraja la Kati ( Cardinals Priests)
Daraja la chini kabisa ( Cardinals deacons)
Makadinali wa daraja la Juu Duniani kote hawafiki 10
Mhashamu Polycarp Pengo yupo daraja la 2 la Ukadinali
Pitia nyaraka rasmi za Kanisa Catholic kwa rejea zaidi
Inawezekana ulikuwa hujui lakini Makadinali ( Cardinals) kwa mujibu wa Kanisa la Roman Catholic wamepangwa au kugawanywa kwenye madaraja matatu makuu
Daraja la Juu kabisa ( Cardinals Bishop)
Daraja la Kati ( Cardinals Priests)
Daraja la chini kabisa ( Cardinals deacons)
Makadinali wa daraja la Juu Duniani kote hawafiki 10
Mhashamu Polycarp Pengo yupo daraja la 2 la Ukadinali
Pitia nyaraka rasmi za Kanisa Catholic kwa rejea zaidi