Crap and non-sense!Kweli we Shoga Bwabwa kwelikweli.... Kama unaona Tanzania hakuna Uhuru nenda kwenye nchi zenu za Ushoga mtuachie Tanzania yetu sisi wanaume wa kweli, hapa Tanzania ndio tuko fit Tunapiga kazi kwa kwenda mbele na pesa inapatikana lakini nyie mnao hitaji kubustiwa endeleeni kulalamika.
Kwa mawazo yako sasa hivi Libya ilivyo ndio unaona ni demokrasia hiyo kweli akili ni mali, Libya wanajuta kumpoteza Gadafi wewe unaona ndio ushujaa.... Hivi kumbe nyie shida yenu tuwe na vita Tanzania, kwa hilo mmeishafeli... Bwabwa kweli wewe.
una faili lake la hosp. hadi kusema ana afya njemaKumeibuka mjadala mkubwa katika mitandao kijamii kufatia kile kilichodaiwa kuwa ni kauli ya Mh. Spika Ndugai, iliyomtaka arejee nchini na kuendelea na shughuli zake za kibunge vinginevyo sheria itachukua mkondo wake dhidi yake.
Hivi karibuni TAL akihojiwa na moja ya vyombo vya habari huko Uingereza, alisema kwamba kwa sasa amepona na atarudi nchini muda wowote; pia alitumia wasaa huo kuwaweka wazi Watanzania na jumuiya ya kimataifa kuwa yupo tayari kugombea nafasi ya juu kabisa ya uongozi katika nchi yetu hapo mwaka 2020 kama chama chake kitaridhia apeperushe bendera yake.
Kinachoshangaza ni kuwa wapambe wake wamekuwa na wasiwasi juu ya usalama wa Lissu kuliko Lissu mwenyewe. Wakati yeye akisema yuko tayari kurejea nchini wakati wowote, wao wanasema asirejee hata kama atapoteza nafasi ya Ubunge huku wakidai kuwa wanahofia usalama wake na wengine wamesema aombe “Political Asylum” katika moja ya nchi hizo, sijui kwa vigezo vipi. Viongozi wa juu wa CHADEMA bado wapo kimya kabisa katika hili. Kuna siri nzito ambayo Lissu na dereva wake wanajua.
Nilichojifunza hapo ni kuwa wapambe wake wanakubali wazi kuwa TAL anavunja sheria kwa kutojishughulisha na masuala ya Kibunge bila kibali cha Spika wakati akiwa na afya njema kabisa, na badala yake anafanya ziara nje ya nchi zenye malengo hasi kwa nchi yetu. Hivyo wapambe wake hawatashangazwa iwapo Spika ataamua kutomtambua Lissu kama Mbunge, lakini tutarajie malalamiko yao kama kawaida ya kulalamikia kile wasichokiamani.
Lissu bado anaamini kuwa Tanzania ni nchi ya amani tofauti na wapambe wake wanavyoamini na ndiyo maana ameweka wazi mipango yake kisiasa. Tujiulize maswali haya, iwapo ataomba hifadhi nje kama wapambe wake wanavyotaka, “Plan Yake” ya kuwa Rais itakuwaje? Je, atafanya kampeni na kuchaguliwa kutoka huko huko aliko?
Katika hili, Lissu na wapambe wako hamko pamoja kabisa.
Mpeleke jamaa yako akaumbuke, kule hawaulizi definition ya catalyst.
😂😂😂😂 mzee wa entrepreneurWale jamaa hawana NJAA !
Hawasubirii TEUZI !
Hawamlambi MIGUU mtu yeyote.
Ukienda mwenyewe kama akili yenyewe kama ya JIWE utageuka MEME kwenye MAJUKWAA YA COMEDY.
Yapo mengi, Pole Pole yeye alichukulia Stiv ni mwana CCM mwenzao. Ndicho alichoelewa yeye kwenye ile interview. Bashite yeye hakuelewa chochote. Jiwe ndio kwanza yuko na dikshinari anajaribu kuirudia ile interview Kama atapata kuelewa chochote!
Mimi nimegundua Lissu hana lolote bali ana inflammatory allegations kama alivyosema mtangazaji wa BBC Hardtalk Stephen na kwamba Stephen anayajua mengi mazuri yanayofanywa na Mh. Rais kuliko Lissu!!Nilichongundua tangu ahojiwe lissu ni kuwa lissu ni hazina ya taifa, jamaa ni kichwa ile mbaya anaogea point sana na hana chembe ya unafiki ila anataka haki kwa watu wote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Japan wametoa tena msaada wa kujenga flyover pale makutano ya gerezani Dar kwa taarifa yako mkuu!Lissu ametuharibia image ya serikali yetu tukufu! Hii haikubaliki.
Atatuletea hasara, misaada ikikatwa tutakaoumia ni sisi wananchi wala sio Magufuli na class yake.
Ajaribu kuipenda nchi yake japo kidogo mwambieni arudi nyumbani au atafte asylum huko huko EU atulie wajameni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka mpaka nimepaliwa makandeYapo mengi, Pole Pole yeye alichukulia Stiv ni mwana CCM mwenzao. Ndicho alichoelewa yeye kwenye ile interview. Bashite yeye hakuelewa chochote zile vocabulary hazipo kwenye dikshinari yake ya uvuvi wa samaki! Jiwe ndio kwanza yuko na dikshinari anajaribu kuirudia ile interview Kama atapata kuelewa chochote!
Hapa ndipo watu wanaofikiri wana akili wanafeli. Mleta mada amefafanua kwa mapana akataka kila mtu aelezee ameelewaje mazungumzo hayo, wewe unakuja kuzungumzia wengine ambao nao wametizama kama wewe, kama ni mtihani mwalimu anakupa ZIROYapo mengi, Pole Pole yeye alichukulia Stiv ni mwana CCM mwenzao. Ndicho alichoelewa yeye kwenye ile interview. Bashite yeye hakuelewa chochote zile vocabulary hazipo kwenye dikshinari yake ya uvuvi wa samaki! Jiwe ndio kwanza yuko na dikshinari anajaribu kuirudia ile interview Kama atapata kuelewa chochote!