Kwa suala la mikutano magazeti yatatusababishia mauaji

gogo la shamba

JF-Expert Member
Mar 1, 2013
6,670
2,165
hili suala la mikutano na maandamano magazeti yatatufikisha maala hambapo damu ya watanzania itamwagika,nasema haya nikuwa na maana kwamba wanahabari ama kwa ushabiki au kwa uchama wanashindwa kuweka wazi kwamba,mikutano na maandamano ni halali au ni batili kufanywa na vyama vya siasa na kama wana habari wataendelea na mtindo huu watakuwa wa kwanza kuchukuliwa hatua kwa kuchochea umwagaji damu. wana JF nawaombeni tushirikiane kuwaeleza wana habari wetu watueleze sheria inasemaje kuhusu suala hili la maandamano na mikutano ya siasa
 
Wanasiasa wa CCM ndio waliotufikisha hapa, wanahabari wananukuu tusiwalaumu.
 
Mwananchi ana haki ya kupata habari kwa kuhabarishwa kinachojiri.
wanahabari ndio waliosababisha mauaji ya kimbari.
wanahabari ndio waliosababisha mauaji ya kikabila Kenya kipindi cha uchaguzi.
wanahabari wasipotumia kalamu zao kwa busara wanaweza pindua nchi juu chini. lets be careful. tatizo kubwa baadhi yao wananunuliwa, wanarubuniwa kwa kutimiza matakwa ya baadhi ya wanasiasa. laiti kama wanahabari wote wangekuwa na uzalendo, nadhani watu wangeishi kwa usalama zaidi
 
Kama walishindwa kuandika kuwa Uchaguzi wa Marudio Zanzibar ulikuwa batili, ndiyo unawatarajia waje waandike kuhusu uhalali au uharamu wa mikutano na Maandamano?
 
Maandamano na mikutano ni ruksa kwa mujibu wa katiba.CCM inachochea fujo kwa kuvunja haki za kikatiba.
 
Ni fikra za kipuuzi tu kupambana kuhusu mikutano na maandamano hadi watu waumie.
Pande zote zinazohusika zinatakiwa kuwaza kibinadamu kuliko kinyama zaidi.
Ustaarabu ukitumika, hakuna madhara yoyote.
 
hili suala la mikutano na maandamano magazeti yatatufikisha maala hambapo damu ya watanzania itamwagika,nasema haya nikuwa na maana kwamba wanahabari ama kwa ushabiki au kwa uchama wanashindwa kuweka wazi kwamba,mikutano na maandamano ni halali au ni batili kufanywa na vyama vya siasa na kama wana habari wataendelea na mtindo huu watakuwa wa kwanza kuchukuliwa hatua kwa kuchochea umwagaji damu. wana JF nawaombeni tushirikiane kuwaeleza wana habari wetu watueleze sheria inasemaje kuhusu suala hili la maandamano na mikutano ya siasa
Sio kazi ya magazeti
 
Hiv siku ya tarehe 1 sept. Wanachadema wakiachwa wakaandamana kwa amani huku jesh la polic likiwapa ulinzi kama linavyofanya kwenye maandamano ya CCM. Jion kila mtu akarud kwake kwa amani serkal hasa Magufuli atapungukiwa nini?
 
Back
Top Bottom