Kwa style hii kila mtu ale urefu wa kamba yake

hittler

Member
Jul 18, 2011
55
10
Kwa mfumo wa uongozi wa Tanzania kwa sasa nashauri kila mtu ale urefu wa kamba yake, kwasababu wote wanaotuhumiwa kwa rushwa wanasafishwa na serikal. Ni bora serikali ikahalalisha rushwa katika sehemu za kazi ili tujue moja, tumechoka kusubiri uchunguzi wa CAG ambao haujawahi kutoa ukweli
 
Kwa mfumo wa uongozi wa Tanzania kwa sasa nashauri kila mtu ale urefu wa kamba yake, kwasababu wote wanaotuhumiwa kwa rushwa wanasafishwa na serikal. Ni bora serikali ikahalalisha rushwa katika sehemu za kazi ili tujue moja, tumechoka kusubiri uchunguzi wa CAG ambao haujawahi kutoa ukweli

Zama hizi mtumishi wa umma anajengewa nyumba ya kuishi ya thamani ya mabilioni ya shilingi na
akikaribia kustaafu anakopeshwa kwa vimilioni vichache, pia ni zama ambazo kufikishwa mahakamani
kwa ubadhirifu inategemea umekwapua kiasi gani, kama ni kikubwa, dola yenyewe inatamka kuwa hukamatiki!

Ni zama ambazo ukiwa mtumishi wa umma mwenye cheo kikubwa unaweza kusomesha mwanao nchi yoyote
uitakayo bila mawazo ya karo, si hivyo tu kutibiwa nje si kwa magonjwa ya moyo tu bali hata mafua,
muhimu cheo kizuri cha kuhudumia umma.
 
Kwa mfumo wa uongozi wa Tanzania kwa sasa nashauri kila mtu ale urefu wa kamba yake, kwasababu wote wanaotuhumiwa kwa rushwa wanasafishwa na serikal. Ni bora serikali ikahalalisha rushwa katika sehemu za kazi ili tujue moja, tumechoka kusubiri uchunguzi wa CAG ambao haujawahi kutoa ukweli

Kwani kuna uongozi tena tanzania hii
si wapo watu tuu walioshikilia nafasi wanajiita viongozi
Kwani tungekuwa na uongozi haya madudu yangekuwa yanaonekana
Ahhhh inatia hasira sana
 
ukipata chance iba,usibakishe hata shilingi mpaka akili itukae sawa kama libya,tunisia,yemen(rais alipigwa bomu..duh!!),misri na kwingineko
 
Kwani kuna uongozi tena tanzania hii
si wapo watu tuu walioshikilia nafasi wanajiita viongozi
Kwani tungekuwa na uongozi haya madudu yangekuwa yanaonekana
Ahhhh inatia hasira sana

Mkuu, naomba nifute kauli yangu, tuna watawala na si viongozi
ndiyo maana nchini kuna tume ya Utawala Bora na si Uongozi Bora...
 
Mkuu, naomba nifute kauli yangu, tuna watawala na si viongozi
ndiyo maana nchini kuna tume ya Utawala Bora na si Uongozi Bora...

kabisa mkuu
ni watawala na sio viongozi
na wako pale kwa ajili ya maslahi yao binafsi na kujijenga sio maslahi ya watawaliwa
tumefikia mahali watu hawana imani na watawala hawa maana kila wakiamka asubuhi ndo madudu wanayoyafanya yanazidi ya jana yake
 
kabisa mkuu
ni watawala na sio viongozi
na wako pale kwa ajili ya maslahi yao binafsi na kujijenga sio maslahi ya watawaliwa
tumefikia mahali watu hawana imani na watawala hawa maana kila wakiamka asubuhi ndo madudu wanayoyafanya yanazidi ya jana yake

Watoto na wajukuu wetu watajuta kuzaliwa Tanzania...
 
Sasa tena kama haya ya mnadhimu wa jeshi ni ya kweli basi kila mtu atakula kwa urefu wa kamab yake! Huyu Bregadia Abrahamani Shimbo kuna tetesi amekamatwa na interpol kwa kuwa na akaunt huku South Africa yenye tshs Trilioni 3!!!!! Jamani yan kama ni kweli zichukuliwe zijenge miundombinu ya umeme hapa nchini. Yani anamiliki robo ya budget ya taifa la Tanzania. Duu! Kweli hata ukipata chance iba bwana
 
Aibu kubwa sana kwa taasisi za serikali kama CAG office, TAKUKURU, POLICE, TISS zote zipo kwa ajili ya kulinda maslahi ya wezi. Jibu ni moja tu nao ni MAJIZI wakubwa laana wanatoka nayo
 
Tutakuja laumiwa na vizazi vijavyo kuwa tulikuwa wapi kufanya maamuzi magumu ya kubadilisha hali hii ya utawala wa Kifisadi?
 
Hivi hata mashirika manne yaliyotoe hizo fedha cag alivyosema,je huyo ndio utaratibu?na bajeti ya hizo fedha ilikuwepo?waliopelekea ili kupitisha au kuandaa bajeji ofsini kwao hakuchukua fedha za kujikimu na posho?tumekwisha huku tunajiona jamani.
 
Hivi hata mashirika manne yaliyotoe hizo fedha cag alivyosema,je huyo ndio utaratibu?na bajeti ya hizo fedha ilikuwepo?waliopelekea ili kupitisha au kuandaa bajeji ofsini kwao hakuchukua fedha za kujikimu na posho?tumekwisha huku tunajiona jamani.
TZ bila ufisadi haiwezekani! Nijambo la ajabu kumsikia katibu mkuu akise Jayro anatakiwa arudi kazin eti kwasababu tu kiasi alicho iba nikidodogo tafauti nailivyo daiwa hivyo haitoshi kumtia hatiani.......? je vipi kuhusu usemiwetu kuwa aliye kamatwa na ngozi ndiye mwiz wa mbuzi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom