Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 4,800
- 6,280
Hii ni familia moja yenye makazi yake ukonga, utakuta...
Mtoto ndio kwanza amemaliza chuo UDSM na amebahatika kupata kazi pale EPZA karibu na mabibo hostel ila hajaanza kujitegemea, huyu ana gari lake
Baba ni manager wa crdb bank branch ya mlimani city, huyu nae ana gari lake
Mama ni mjasiriamali ana maduka Mwenge, huyu pia ana gari lake
Sasa asubuhi wakitoka nyumbani kila mtu anatoka na gari lake wkt route yao ni moja, wangeweza kutumia gari moja, wakaanza kumdrop mtoto kazini, akafata baba thn mama akabaki na gari coz ni wa mwisho, kila mtu angetumia gari lake siku zenye uhitaji kama week end.
Nawasilisha.
Mtoto ndio kwanza amemaliza chuo UDSM na amebahatika kupata kazi pale EPZA karibu na mabibo hostel ila hajaanza kujitegemea, huyu ana gari lake
Baba ni manager wa crdb bank branch ya mlimani city, huyu nae ana gari lake
Mama ni mjasiriamali ana maduka Mwenge, huyu pia ana gari lake
Sasa asubuhi wakitoka nyumbani kila mtu anatoka na gari lake wkt route yao ni moja, wangeweza kutumia gari moja, wakaanza kumdrop mtoto kazini, akafata baba thn mama akabaki na gari coz ni wa mwisho, kila mtu angetumia gari lake siku zenye uhitaji kama week end.
Nawasilisha.