kindili kindili
JF-Expert Member
- May 27, 2013
- 242
- 54
Wana jamvi, kuna mtu kaniuliza nimekosa majibu, hope atapata hapa.. anafanya kazi mahala fulan mshahara wake take home ni 650,000,.Ofice hy ya muhindi amezuia wafanyakazi kukopeshwa kabisa, wana pokea mishahara kupitia DTB..kwa vile kuna waliowah kuajiriwa wakakopa alafu wakaacha kazi kiajabu akapata shuruba nyingi so hataki itokee tena...sasa huyu ndugu yangu anatafuta mkopo, hana shamba wala nyumba, anaweza kukopa kwenye taasisi gani? anahitaji mkopo wa minimum mil 5...eti bandugu msaada.