Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!

hamna mzee kafiri ni mtu asiyeamini uislamu,hii ni lugha inayotumiwa sana na waislamu misikitini sheikh,sidhani kama lugha hii haifai
Pablo ujue kila neno lina mahala pake na kila mahala pana neno lake, ikiwa neno hilo linatumiwa na waislamu msikitini, hapa JF siyo msikitini na si pa waislamu pekee. Lazima tuchague nini cha kusema, siyo tuwe tunafyatua maneno tu.
 
Pablo ujue kila neno lina mahala pake na kila mahala pana neno lake, ikiwa neno hilo linatumiwa na waislamu msikitini, hapa JF siyo msikitini na si pa waislamu pekee. Lazima tuchague nini cha kusema, siyo tuwe tunafyatua maneno tu.
Vumilika,
Umeandika maneno ya busara sana na tuombe ndugu yetu aelewe kuwa kila
jambo lina mahali pake.

Kuna kijana mmoja kutoka Mombasa Kenya alikwenda Kano, Nigeria kusoma.
Akiwa bado mgeni aliingia msikitini amevaa suruali na shati amechomekea.

Basi alitokea mzee mmoja pale msikitini akamvamia kwa ukali sana akizungumza
Kihausa akimkaripia vipi anaweza kuingia msikitini hali kavaa vile hakutoa nje shati
lake.

Ilichukua muda huyu ndugu yangu kueleweka kuwa ni mgeni na huko atokako si
vibaya kuvaa hivyo msikitini na akawaeleza kuwa anataka mji wa Kiislam kabisa.

Kila jambo na mahali pake.
 
Hapo husemi kweli. Weka ushahidi kama u mkweli.

Napenda ufahamu tu kuwa una nia ya kuibadili mada na mimi nimekuona.

Fungulia uzi tujadili hayo yako. Hapa tumwache Allama Mohamed Said aendeleze darsa adhyim kabisa.
Maalim Faiza,
Baada ya kuandika makala katika Africa Events mwaka wa 1988 ambamo
nilimtaja Abdul Sykes katika historia ya TANU na mchango wa Waislam katika
TANU na kudai uhuru wa Tanganyika, Dr. Mayanja Kiwanuka wa CCM Dodoma
alinijibu katika gazeti hilo hilo na majibu yake yalikuwa makali sana na yenye
vitisho.

Kutishwa na CCM miaka ile lilikuwa jambo la kutisha sana.
Mimi sikuelewa kwa nini yeye kaghadhibika kiasi kile kimemuudhi nini khasa?

Sasa kilipotoka kitabu mwaka wa 1998 na mijadala ilipoanza hapa JF miaka
kama 10 iliyopita mijadala hii imefuata ''pattern,'' ile ile aliyoianzisha Dr. Kiwanuka
ya kughadhibikana vitisho kwa kusoma historia mpya.

Pablo hana sababu hata kidogo ya kuja na lugha za matusi kwani hapa huu ni
mjadala tu na ana nafasi pana sana ya yeye kuandika lile analoona sawa na watu
wakachangia.

Hakika ''Kiwanuka Syndrome,'' imemkumba kama ilivyowakumba, Paschal Mayala,
Mag3,' Mwanakijiji
na wengine wengi.

''And counting...''
 
Hapo husemi kweli. Weka ushahidi kama u mkweli.

Napenda ufahamu tu kuwa una nia ya kuibadili mada na mimi nimekuona.

Fungulia uzi tujadili hayo yako. Hapa tumwache Allama Mohamed Said aendeleze darsa adhyim kabisa.
acha unafikiii wewe usijifanye hujui matumizi ya neno kafiri wakati waislamu ndo mmeanzishaaaaa matumizi ya neno kafiri na mnalitumia misikitini
 
Maalim Faiza,
Baada ya kuandika makala katika Africa Events mwaka wa 1988 ambamo
nilimtaja Abdul Sykes katika historia ya TANU na mchango wa Waislam katika
TANU na kudai uhuru wa Tanganyika, Dr. Mayanja Kiwanuka wa CCM Dodoma
alinijibu katika gazeti hilo hilo na majibu yake yalikuwa makali sana na yenye
vitisho.

Kutishwa na CCM miaka ile lilikuwa jambo la kutisha sana.
Mimi sikuelewa kwa nini yeye kaghadhibika kiasi kile kimemuudhi nini khasa?

Sasa kilipotoka kitabu mwaka wa 1998 na mijadala ilipoanza hapa JF miaka
kama 10 iliyopita mijadala hii imefuata ''pattern,'' ile ile aliyoianzisha Dr. Kiwanuka
ya kughadhibikana vitisho kwa kusoma historia mpya.

Pablo hana sababu hata kidogo ya kuja na lugha za matusi kwani hapa huu ni
mjadala tu na ana nafasi pana sana ya yeye kuandika lile analoona sawa na watu
wakachangia.

Hakika ''Kiwanuka Syndrome,'' imemkumba kama ilivyowakumba, Paschal Mayala,
Mag3,' Mwanakijiji
na wengine wengi.

''And counting...''
naomba kujua maana ya neno kafiri
 
Pablo ujue kila neno lina mahala pake na kila mahala pana neno lake, ikiwa neno hilo linatumiwa na waislamu msikitini, hapa JF siyo msikitini na si pa waislamu pekee. Lazima tuchague nini cha kusema, siyo tuwe tunafyatua maneno tu.
kumaliza mjadala nadhani itolewe maana ya neno kafiri,kama linatumika msikitini kwa nini lisitumike hapa?
 
Hapo husemi kweli. Weka ushahidi kama u mkweli.

Napenda ufahamu tu kuwa una nia ya kuibadili mada na mimi nimekuona.

Fungulia uzi tujadili hayo yako. Hapa tumwache Allama Mohamed Said aendeleze darsa adhyim kabisa.
wewe ni mnafiki tena unajijua unajifanya haumchukii nyerere wakati ipo wazi waislamu na nyerere ni paka na panya kafiri mkubwa wewe
 
Maalim Faiza,
Baada ya kuandika makala katika Africa Events mwaka wa 1988 ambamo
nilimtaja Abdul Sykes katika historia ya TANU na mchango wa Waislam katika
TANU na kudai uhuru wa Tanganyika, Dr. Mayanja Kiwanuka wa CCM Dodoma
alinijibu katika gazeti hilo hilo na majibu yake yalikuwa makali sana na yenye
vitisho.

Hakika ''Kiwanuka Syndrome,'' imemkumba kama ilivyowakumba, Paschal Mayala,
Mag3,' Mwanakijiji
na wengine wengi.
Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kutuongezea msamiati mpya wa "Kiwanuka Syndrome", japo sikujua the basis ya majibu ya Kiwanuka kuwa makali na vitisho, bandiko hili halina ukali wowote wala vitisho, bali hapa nimetoa angalizo tuu kuwa
Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.
P
 
wewe ni mnafiki tena unajijua unajifanya haumchukii nyerere wakati ipo wazi waislamu na nyerere ni paka na panya kafiri mkubwa wewe
Wewe uliyemuita "kafiri" hapo juu kidogo ndiye unaempenda?

Na huyu nae ni Muislam? Msome kasema nini...

 
Mkuu Maalim Mohammed Said, asante kutuongezea msamiati mpya wa "Kiwanuka Syndrome", japo sikujua the basis ya majibu ya Kiwanuka kuwa makali na vitisho, bandiko hili halina ukali wowote wala vitisho, bali hapa nimetoa angalizo tuu kuwa
Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.
P
Pascal,
Hakika bandiko lako halina ukali wala vitisho ispokuwa umetoa indhar
kuwa niangaliwe kwa ajili ya haya nisemayo.
 
naomba kujua maana ya neno kafiri
Pablo,
Mimi hujisikia raha kufanya majadiliano yenye tija na adabu.

Hupenda pia kujibu maswali ambayo msomaji atanufaika na elimu ambayo
Mola amenijaalia kuwanayo.

Mada iliyopo mezani inafahamika.

Kuna swali ulimeuliza nimekataa kukujibu kwa kuwa lugha yako haikuwa ya
kiungwana.

Swali zuri na wasomaji wangejifunza mengi lakini sikulijibu.

Umetaka kujua vipi Mwalimu Nyerere alipewa uongozi lakini kwa kuwa swali
lako umelichanganya na tusi nikalipuuza.

Hapa JF ni ukumbi wa kusoma na kujifunza si mahali pa watu kutukanana.
 
Wewe uliyemuita "kafiri" hapo juu kidogo ndiye unaempenda?

Na huyu nae ni Muislam? Msome kasema nini...

ok ngoja nisome,ila uache unafiki kujifanya hujui matumizi ya neno kafiri,wakati unalitumia sana, kama mimi muongo sema
 
naomba kujua maana ya neno kafiri
kumaliza mjadala nadhani itolewe maana ya neno kafiri,kama linatumika msikitini kwa nini lisitumike hapa?
Hakuna aliyekukataza kulitumia neno kafiri lakini kulitumia kwa mtu wa heshima kama Nyerere hapo hukumtendea haki. Ulifundwa juu huko kuwa lina sehemu zake hilo neno, hukuelewa na sidhani kama utaelewa.

Unaonesha ghadhabu na chuki ulizonazo mpaka unashindwa kuelewa unachokanywa. Endelea tu.

Neno kafiri limetumika sana ndani ya biblia. Tukukataze kuandika au kunukuu biblia? Haiwezekani. Soma...

NEHEMIA 5: 8-9

NEHEMIA 5:17

NEHEMIA 6:16

MAOMBOLEZO 1:3

MAOMBOLEZO 1:10

MAOMBOLEZO 5:2

1TIMOTHEO 1:8-11

YUDA 1:4

1YOHANA 4:1-6

Kama unaisoma biblia na huelewi maana ya neno kafiri basi wewe ni poyoyo.
 
ok ngoja nisome,ila uache unafiki kujifanya hujui matumizi ya neno kafiri,wakati unalitumia sana, kama mimi muongo sema

Hata hapa ulipolianzisha nimelitumia sana neno kafiri. Umeaswa juu huko, lina mahala pake kulitumia si chorus hiyo wala ngonjera mpaka ufikie kumuita marehemu mzee Nyerere kafiri.

Pata darsa dogo...

Qur'an 5:
82. Hakika utawakuta walio maadui zaidi kuliko watu (wengine) kwa Waislaam ni Mayahudi na wale washirikina. Na utawaona walio karibu zaidi kwa mapenzi na waumini ni wale wanaosema: Sisi ni wakristo. Hayo ni kwa sababu wako miongoni mwao wanachuoni na wamchao Mwenyeezi Mungu, na kwamba wao hawatakabari.

83. Na wanaposikia yaliyoteremshwa kwa Mtume, utaona macho yakichuruzika machozi kwa sababu ya haki waliyoitambua, wanasema: Mola wetu, tumeamini, basi tuandike pamoja na wanaoshuhudia (ukweli huu).

84. Na kwa nini tusimwamini Mwenyeezi Mungu na haki iliyotufikia, na tunatumai kwamba Mola wetu atuingize (Peponi) pamoja na watu wema.
 
Back
Top Bottom