Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,913
- 30,255
Mag 3,
Ahsante sana nimekusoma na mimi nitaeleza yale ambayo nayajua kuhusu historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.
Mswada wa kitabu changu ulipitia mikono ya watu wengi na kwa hakika nilifaidika sana na ushauri wao.
Leo ninapokusoma najiona mimi wakati ule nimemaliza kuandika na wataalamu wanapitia kazi yangu.
Ushauri mkubwa ambao kwa kweli ulinisaidia sana ni kule kuniambia kuwa eleza historia kama uijuavyo kutokana na wazee wako na katika utafiti na futa katika akili yako kuwa kuna watu unawajibu.
Mwenzangu umetumbukia kwenye shimo nililotoka mimi miaka mingi nyuma.
Mimi nitaeleza yale niyajuayo.
Wazee wangu hawakuwa wajinga walikuwa wanajua kuwa Tanganyika ni Mandate Territory.
Tusomeni hapo chini:
''Having established the political committee, Abdulwahid settled down to write to all TAA branches in the territory in order to revitalise them.Major issue facing Abdulwahid and the political committee was the status of Tanganyika as a mandate territory.Abdulwahid engaged Earle Seaton, a lawyer from Bermuda based in Moshi, and attached him to the committee to advise them on constitutional law and decolonisation of mandate territories under foreign rule.The United Nations Trusteeship Council had already sent its first visiting mission to Tanganyika in 1948; but not much was gained from this mission.The TAA headquarters in Dar es Salaam under Dr Kyaruzi and Abdulwahid with the backing of the political committee was now rising from its deep slumber.What was now required were serious issues to stimulate the minds of the young intellectuals.The TAA leadership did not have to look far.These issues came in the form of the Constitutional Development Committee set up by Governor Edward Twining and the Meru land evictions.''
Mag 3,
Kuhusu misukosuko:
''Abdulwahid was elected General Secretary of the Dar es Salaam Dockworkers’ Union.[1]
Mwaka mmoja baada ya Abdul kuchaguliwa kuongoza chama hiki cha makuli mgomo mkubwa ulitokea ambao ulitikisa nchi nzima.
Hii ilikuwa mwaka wa 1949 na babu yangu aliupokea mgomo huu wa makuli wa Dar es Salaam akiwa kiongozi wa wafanyakazi wa reli Tabora na wakafanya mgomo kuwaunga mkono wazalendo wenzao wa bandarini Dar es Salaam.
Ingia hapo chini:
KUTOKA JF: BABU YANGU SALUM ABDALLAH
https://youtu.be/3VeQ68FgRRM Uncle Jei Jei: Tatizo Nyerere si muislam kwa dini wala mmanyema kwa kabila. Na kibaya zaidi, baba w...
mohamedsaidsalum.blogspot.com
Mag 3,
Si kweli kuwa alikuwa Nyerere ndiye aliyezungumza kwa mara ya kwanza kuhusu Tanganyika na uraia wa Malkia wa Uingereza.
Tusomeni hapo chini:
''last agenda item was for discussion was the status of the Queen vis-a-vis the Africans of Tanganyika and the Meru evictions. It be remembered that in 1951, Ally Sykes as TAGSA secretary had made remarks against the status of British jurisdiction over Tanganyika.''
Mag 3,Mzee Rupia alikuwa mfadhili mkubwa wa TANU lakini hakupatapo kutoa nyumba yake kuwa ofisi ya TANU.
Wengi walitoa nyumbza zao kuwa ofisi ya TANU katika hao alikuwa Ali Msham ambae tawi lake lilikuwa Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa na akamfungulia Mama Maria duka la kuuza mafuta ya TAA.
Tusomeni hapo chini:
ALI MSHAM, TAWI LA TANU NA DUKA LA MAFUTA YA TAA LA MAMA MARIA NYERERE
UncleBen said: ↑ Nashukuru Mzee wangu na wala sio mara yangu ya kwanza kukusoma katika mabandiko yako hapa yahusiyo historia ...
mohamedsaidsalum.blogspot.com
Mag 3,
Namjua vizuri sana Chief David Kidaha Makwaia na nimepata kumuona kwa kuwa mwanae alikuwa rafiki yangu na tukisoma darasa moja St. Joseph's Convent.
Lakini zaidi nimeelezwa mengi ya Chief Kidaha na Mama Daisy mke wa Abdul Sykes kama hutaki kuamini ni sawa tu kwangu.
Hayo mengine kuwa Cecil Matola ndiye muasisi wa African Association si jambo la mimi kubisahana na wewe wala kuhusu ofisi ya chama hicho.
Mimi ndiye niliyeweka hadharani piacha ya mwaka wa 1933 ufunguzi wa ofisi hiyo na nimeitoa katika Nyaraza za Sykes:
Angalia picha hiyo hapo chini: