KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi napenda chama changu cha CHADEMA kichukue Madaraka 2015!
Ila kutokana na mizengwe ya serikali iliyopo madarakani CCM.......najua nini kinaweza kutokea kwani wapo tayari kuua basi zima lenye abiria 65 kwa ajili ya kumkwepa mwenye baiskeli barabarani!!.....
Namtazama EL nashindwa kuelewa dhamila yake nini maana!!Kutokana na mbinu anazotumia na nguvu kubwa inayotumika kujenga mtandao imara kwenye kila taasisi ya CCM sasa nona LOWASSA anatafuta kuungwa mkono ili aweze kugombea nafasi ya Urais 2015!! Ila CCM wakisimamisha LOWASSA nitaona ni bora yeye kuliko mtu mwingine CCM ! Ni heri nusu shari kuliko shali kamili!!LOWASSA Kwa kutokana na shubili hii aliyoipata baada ya kuwa anatembea kwa magari yenye ving'ora na baade kuvikosa!!Basi ni dhahiri kuwa
Akipata madaraka anaweza kuibadili hii Tanzania kutoka kwenye mazoea tuliyoyazoea ya kulindana yanayoendelezwa na CCM kunaweza kuwepo utii wa sheria!!nasema hivyo kwa sababu hii,Kwanza kwa kila kitu atakachokuwa anakifanya nikutaka kuonyesha anaweza na siyeyule LOWASSA WA RICHMOND, pili nikujitoa kwenye tope alilochafuka nalo juu ya kashfa ya RICHMOND kwa kujua anahusika lakini si kwa moja kwa moja!!
Atata Ili jamii imuelewe nakuoinyesha yeye ni zaidi ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete atabadirisha mwelekeo wa nchi hii na kwakuwa yeye nimtu wa visasi basi visasi vyake vinaweza vikasaidia katika nchi hii!!!Mwisho nasema
LOWASSA NI ZAIDI YA MiTANDAO NDANI YA CCM.....ILA CHADEMA NI ZAIDI YA CCM NA WATU WAKE.
Ila kutokana na mizengwe ya serikali iliyopo madarakani CCM.......najua nini kinaweza kutokea kwani wapo tayari kuua basi zima lenye abiria 65 kwa ajili ya kumkwepa mwenye baiskeli barabarani!!.....
Namtazama EL nashindwa kuelewa dhamila yake nini maana!!Kutokana na mbinu anazotumia na nguvu kubwa inayotumika kujenga mtandao imara kwenye kila taasisi ya CCM sasa nona LOWASSA anatafuta kuungwa mkono ili aweze kugombea nafasi ya Urais 2015!! Ila CCM wakisimamisha LOWASSA nitaona ni bora yeye kuliko mtu mwingine CCM ! Ni heri nusu shari kuliko shali kamili!!LOWASSA Kwa kutokana na shubili hii aliyoipata baada ya kuwa anatembea kwa magari yenye ving'ora na baade kuvikosa!!Basi ni dhahiri kuwa
Akipata madaraka anaweza kuibadili hii Tanzania kutoka kwenye mazoea tuliyoyazoea ya kulindana yanayoendelezwa na CCM kunaweza kuwepo utii wa sheria!!nasema hivyo kwa sababu hii,Kwanza kwa kila kitu atakachokuwa anakifanya nikutaka kuonyesha anaweza na siyeyule LOWASSA WA RICHMOND, pili nikujitoa kwenye tope alilochafuka nalo juu ya kashfa ya RICHMOND kwa kujua anahusika lakini si kwa moja kwa moja!!
Atata Ili jamii imuelewe nakuoinyesha yeye ni zaidi ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete atabadirisha mwelekeo wa nchi hii na kwakuwa yeye nimtu wa visasi basi visasi vyake vinaweza vikasaidia katika nchi hii!!!Mwisho nasema
LOWASSA NI ZAIDI YA MiTANDAO NDANI YA CCM.....ILA CHADEMA NI ZAIDI YA CCM NA WATU WAKE.