GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Anaanza Kuhukumiwa kwenda Jela mwana CCM Sabaya kisha anafuatia mwana CHADEMA Mbowe na Mzani unakaa sawa.
Ushauri wangu wa bure tu kwa Familia za Wahusika waanze Kujiandaa Kisaikolojia na kupeana zamu kwenda Gerezani.
Hukumu za hawa Wawili zitaionyesha Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania ya Bi. Hangaya ni ya Kutenda Haki na haionei Mwanasiasa.
Sifurahii hizi Hukumu ambazo naziona zinaenda Kuwatokea, ila ukweli ni kwamba Wote Wawili wana Shutuma nzito na kali.
Ushauri wangu wa bure tu kwa Familia za Wahusika waanze Kujiandaa Kisaikolojia na kupeana zamu kwenda Gerezani.
Hukumu za hawa Wawili zitaionyesha Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania ya Bi. Hangaya ni ya Kutenda Haki na haionei Mwanasiasa.
Sifurahii hizi Hukumu ambazo naziona zinaenda Kuwatokea, ila ukweli ni kwamba Wote Wawili wana Shutuma nzito na kali.