The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Nakumbuka enzi za Kikwete na Mkapa watanzania wengi wenye taaluma mbalimbali waliokua wanafanyakazi nje ya nchi waliletwa kuja kusaidia kuleta maendeleo kwa ujuzi na uzoefu wao walioupata huko nje.
Kwa mfano Mkapa alimleta Daudi Balali, Kikwete akamleta Ndulu, yule mama wa uwekezaji, mama Tibaijuka, tpdc na mashirika mengine.
Lakini pia Kikwete alikua anawachukua watu kutoka private sector nchini na kuwaingiza kwenye public sector kama Mchechu wa NHC, Bade wa TRA na wengine.
Je, kwa serikali hii ni diaspora gani walipewa nafasi au wameletwa kusaidia kuleta maendeleo? Naona ma dokta na maprofesa wengi waliokula shavu ni wa hapa hapa nchini kwenye vyuo vyetu labda ukimtoa wa tpdc ambae cv yake inaonyesha ni watanzania wachache wanaweza ku-match qualifications, exposure na experience yake.
Kwa mfano Mkapa alimleta Daudi Balali, Kikwete akamleta Ndulu, yule mama wa uwekezaji, mama Tibaijuka, tpdc na mashirika mengine.
Lakini pia Kikwete alikua anawachukua watu kutoka private sector nchini na kuwaingiza kwenye public sector kama Mchechu wa NHC, Bade wa TRA na wengine.
Je, kwa serikali hii ni diaspora gani walipewa nafasi au wameletwa kusaidia kuleta maendeleo? Naona ma dokta na maprofesa wengi waliokula shavu ni wa hapa hapa nchini kwenye vyuo vyetu labda ukimtoa wa tpdc ambae cv yake inaonyesha ni watanzania wachache wanaweza ku-match qualifications, exposure na experience yake.