Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,328
- 2,282
Inasikitisha sana viongozi wengi kuacha kufanya walichoagizwa na kuanza kuogopesha watu.
Badala ya kufundisha kilicho kwenye maandiko na kuacha mtu afanye uamuzi, wengi wanapamba zaidi kuwatisha.
Kiongozi anaedai anahubiri anahubiri hivi
Hapo amehubiri nini? Amefundisha nini? Umeamua kuwatisha watu kwa njia hiyo watamjuaje Mungu? Ni wapi Yesu aliwatisha watu badala ya kuwahubiria?
Hakuna jambo la maana kama kujifunza kweli ili ikuweke huru,bila kujua kweli utaogopa matukio ambayo ni ya kawaida kabisa ukidhani kweli unamajini tofauti sababu kila kiongozi utakayemsikiliza lazma ataaja kitu ambacho wewe kinakugusa. Kuweni makini sana acheni kufuata upepo.
Badala ya kufundisha kilicho kwenye maandiko na kuacha mtu afanye uamuzi, wengi wanapamba zaidi kuwatisha.
Kiongozi anaedai anahubiri anahubiri hivi
Kama umesoma huna kazi una jini mikosi,kama ndoa yako haina amani kuna jini mahaba, kama hupati mchumba una sijui jini gan...unahisi watoto wako hawafanyi vizuri shule basi chukua hatua haraka sana...njoo kanisani kwetu tukuombee n.k.
Hapo amehubiri nini? Amefundisha nini? Umeamua kuwatisha watu kwa njia hiyo watamjuaje Mungu? Ni wapi Yesu aliwatisha watu badala ya kuwahubiria?
Hakuna jambo la maana kama kujifunza kweli ili ikuweke huru,bila kujua kweli utaogopa matukio ambayo ni ya kawaida kabisa ukidhani kweli unamajini tofauti sababu kila kiongozi utakayemsikiliza lazma ataaja kitu ambacho wewe kinakugusa. Kuweni makini sana acheni kufuata upepo.