Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kasulu limenishikilia kwa muda wa saa 2 likinitaka kutoa Maelezo ya kwanini nipo Kasulu.
Nimeeleza kuwa nimeagizwa na Chama changu CHADEMA kuja kusimamia Uchaguzi wa chama ngazi ya Mkoa.
Hata hivyo OCD-KASULU amenitaka kuripoti Polisi kila siku mpaka Uchaguzi utakapofanyika lakini nikamkatalia kufanya hivyo kwani taarifa zangu za kuwa Kasulu anazo RCO-KIGOMA. OCD amepiga simu ili athibitishe kisha akaniachia.
Nimeshitushwa na wingi wa Askari waliokuja kunikamata tena kwa kutumia Magali Mawili na Ving'ola badala ya kwenda Doria katika Barabara ya Kasulu-Kibondo ambayo ina matukio mengi ya ujambazi!
Kwasasa natembea kwa Mguu kuelekea nilipofikia huku kundi la Askari lililokuwa limenizunguka likiniangalia kwa nyuma.
Elia F Michael
Diwani-Gwarama.
Mwenyekiti wa Madiwani Kanda ya Magharibi.
Mbunge nje ya Bunge.
Nimeeleza kuwa nimeagizwa na Chama changu CHADEMA kuja kusimamia Uchaguzi wa chama ngazi ya Mkoa.
Hata hivyo OCD-KASULU amenitaka kuripoti Polisi kila siku mpaka Uchaguzi utakapofanyika lakini nikamkatalia kufanya hivyo kwani taarifa zangu za kuwa Kasulu anazo RCO-KIGOMA. OCD amepiga simu ili athibitishe kisha akaniachia.
Nimeshitushwa na wingi wa Askari waliokuja kunikamata tena kwa kutumia Magali Mawili na Ving'ola badala ya kwenda Doria katika Barabara ya Kasulu-Kibondo ambayo ina matukio mengi ya ujambazi!
Kwasasa natembea kwa Mguu kuelekea nilipofikia huku kundi la Askari lililokuwa limenizunguka likiniangalia kwa nyuma.
Elia F Michael
Diwani-Gwarama.
Mwenyekiti wa Madiwani Kanda ya Magharibi.
Mbunge nje ya Bunge.