kifinga
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 5,249
- 9,499
mvua ikinyesha tope lake si mchezo kuna siku tulikua na v8 na ilichemsha ilo topeKwa sasa Moshi ndo sehemu bora kabisa ya kuishi hapa Tz pana viwango vyote vinavyopaswa
Hapa nazungumzia Moshi kuanzia Rombo hadi Siha kule Sanya juu
Maeneo yenye huduma zote za kijamii za uhakika
Maji ya kutosha
Shule za kutosha
Hospital za kutosha
Barabara nzuri kama upo ulaya
Hali ya hewa nzuri kama upo Ulaya flan hivi amaizing
Vyakula vya uhakika food security ipo ya kutosha hakunaga njaa huku
Mazingira mazuri kwa kilimo cha kisasa cha greenhouse na ufugaji wa kisasa
Hali ya hewa nzuri
Utulivu wa moyo pako cool sana
Maisha mazuri ya kibepari hakunaga kufatiliana....kila mtu na maisha yake huku hakunaga kuvunja nazi njiani au kijicho au mambo ya uganga na majini hakunaga
Maduka ya kutosha huduma zipo zote mabenk, maduka makubwa masoko etc...
Ulinzi na usalama wa uhakika huku viwango vya uhalifu ni kidogo mnooo maisha yanaenda kwa amani
Sehemu nzuri ya kumuabudu mungu ndo maana wachaga ukimkuta kashika dini kashika kweli kweli maana nyumba za ibada na mazingira ni mazuri na yanafaa sana.
Kwa hoja hizi zote Kilimanjaro ndo eneo bora kabisa Tz nzima na East Africa kwa kwa kuishi na ustawi wa mwanadamu...