FredMaria
Member
- Oct 2, 2020
- 53
- 55
Habar wana JF.
Kutokana na Mambo kuwa mengi huku mda ukiwa mchache nimejiiuta nachelewa kutuma maombi katika chuo chochote cha VETA nchini hususani Kigoma au Chato(ni kipya kinaanza kutumika mwaka huu) nimeingia kwenye website mbali mbali lakin sikufanikiw kupata mawasiliano na uongoz husika.
Elim yangu ni Form Six.
Kwa Yeyote mwenye taarifa zozote kuhusu wapi nafasi inaezapatikana anijuze Mimi naishi Kasulu Kigoma.
Natanguliza shukran
Kutokana na Mambo kuwa mengi huku mda ukiwa mchache nimejiiuta nachelewa kutuma maombi katika chuo chochote cha VETA nchini hususani Kigoma au Chato(ni kipya kinaanza kutumika mwaka huu) nimeingia kwenye website mbali mbali lakin sikufanikiw kupata mawasiliano na uongoz husika.
Elim yangu ni Form Six.
Kwa Yeyote mwenye taarifa zozote kuhusu wapi nafasi inaezapatikana anijuze Mimi naishi Kasulu Kigoma.
Natanguliza shukran