Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tin naye yupo vizuri,hawaja zidiana sana.Mkojani sahivi raia wamemuelewa, ila kwangu mimi Tin ananichekesha zaidi
Tin alianza na rafiki yake mau fundi A+... Sijui kwann walipotezana na kuja kuibuka kolabo ya Tin na mkojani...
Masantula nikimuona 2 nachekaTin white namchek kupitia kitimtim ya maisha magic Bongo, pale kuna mwingine anaitwa masantula bc hua wanafanya siku yangu iwe ya furaha
Yn pale kitimtim hua naangalia kwa sababu ya masantula mana ndie mchekeshaji wangu bora pale, mchekeshaji wa kweli n yule ambaye ukimuona tuu lazima uchekeMasantula nikimuona 2 nacheka
Yule masantula wakimwonesha tu, najua anytime lazima atoe boko au aongee mbelenyumaYn pale kitimtim hua naangalia kwa sababu ya masantula mana ndie mchekeshaji wangu bora pale, mchekeshaji wa kweli n yule ambaye ukimuona tuu lazima ucheke
Aisee binafsi ukinambia nikupe top 3 ya wachekeshaji wangu bc masantula nae yupo 😂😂😂Yule masantula wakimwonesha tu, najua anytime lazima atoe boko au aongee mbelenyuma